Millard Ayo hayupo tena Clouds?

Millard Ayo hayupo tena Clouds?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Hivi Millard Ayo kashasepaga Clouds au? Maana namsikia Musa siku ya 3 hii Amplifaya!

Leo nilichelewa kidooogo Kutune Amplifire Clouds Fm ila Nmekuta Baba ashibae Musa hussain Yupo Kwa Kiti cha Millard ni Poa sana ila Kulikon jaman mbona kumepoooza flan iv....


 
Bio yake bado inasoma hivyoo.... Maybe yuko likizo
 

Attachments

  • 1432830566303.jpg
    1432830566303.jpg
    53.4 KB · Views: 1,536
Leo nilichelewa kidooogo Kutune Amplifire Clouds Fm ila Nmekuta Baba ashibae Musa hussain Yupo Kwa Kiti cha Millard ni Poa sana ila Kulikon jaman mbona kumepoooza flan iv....
 
Yupooo huku chugaaaa
Sijui ndo amekujaa kufanyaa coverage ya babu jumamosiii…
 
Kuna tetesi kuwa yupo kwenye majaribio VOA!!
 
Kuna tetesi kuwa yupo kwenye majaribio VOA!!

Sio kirahisi hivyo, kule hawaangalii kipaji cha mtu kule ni shule tu, kila siku anaambiwa aende shule hataki!! hata hiyo certificate hana, aende VOA!!!! Yule Msami alishamsema sana, kuwa aende shule ili ajijengee cv nzuri, yeye anasema hapana, sasa msami c yupo RADIO UMOJA WA MATAIFA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom