Wadau,
Tunataka kuona ipi itakuwa ni event ambayo itabamba hapa jijini Dar siku ya j'mosi May30, kati ya Instagram Party vs Nyama Choma.
Kwa maneno mengine, Instagram Party ipo kwa kijana machachali Fredy na team yake Idris na Wema Sepetu.
Upande Mwingine, Nyama Choma ni bi Carlo Ndosi mbishi na team yake kina AY na FA.
Insta itakuwa Viwaja vya Posta( zaidi ya kawaida). While Nyama Choma ni leaders.
Inasemekana, Dr. Seba (Jembe ni Jembe) amedhamiria kumpoteza Carlo na Seth ambaye amefukuzwa insta party.
Mpaka sasa, NyamaChoma imedoda wacha tuone Jmosi upande upi utakuwa poa
Tunataka kuona ipi itakuwa ni event ambayo itabamba hapa jijini Dar siku ya j'mosi May30, kati ya Instagram Party vs Nyama Choma.
Kwa maneno mengine, Instagram Party ipo kwa kijana machachali Fredy na team yake Idris na Wema Sepetu.
Upande Mwingine, Nyama Choma ni bi Carlo Ndosi mbishi na team yake kina AY na FA.
Insta itakuwa Viwaja vya Posta( zaidi ya kawaida). While Nyama Choma ni leaders.
Inasemekana, Dr. Seba (Jembe ni Jembe) amedhamiria kumpoteza Carlo na Seth ambaye amefukuzwa insta party.
Mpaka sasa, NyamaChoma imedoda wacha tuone Jmosi upande upi utakuwa poa