Escape From Sobibo

Escape From Sobibo

Jackmedia

Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
81
Reaction score
26
okey!!...

kwa wale walio iona movie ya escape from sobibo, hv ile ni story ya kweli? maana! tukumbushane basi baadhi ya matukio amaizing kama ya wale wafungwa kuruka juu ya senyenge na kutokea upande wapili,, wapi bongo movie!?
 
nakumbuka pale wale wazee walivyochomwa moto jamani nilipoona hapo sikuweza kuimaliza hii movie kwa kweli
 
okey!!...

kwa wale walio iona movie ya escape from sobibo, hv ile ni story ya kweli? maana! tukumbushane basi baadhi ya matukio amaizing kama ya wale wafungwa kuruka juu ya senyenge na kutokea upande wapili,, wapi bongo movie!?
ukweli wote upo hapa. Escape from Sobibor
 
Mi nakumbuka pale wale waliochemsha kutoroka walipoambiwa wachague wa kufa nao kisha wakauliwa mbele ya wenzao wengine kama fundisho kuwa ukiona mwenzako anatoroka basi toa taarifa la sivyo akikamatwa itatakiwa auliwe na pamoja na mtu mwingine wa chaguo lake!
Inasikitisha sana!
Ni true story!
 
​Nakumbuka pale mtoto akvuliwa nguo ile anaanza tu kukimbia jibwa jeusi likaambiwa limkamate afu hana kwa kukimbilia na mbele kuna ukuta mrefu ka mnara wa babeli
 
Daaah nakumbuka pale mzee anapowapakulia chakula mateka wenzie huku anakula mijeledi ya kufa mtu
 
Mi nakumbuka pale wale waliochemsha kutoroka walipoambiwa wachague wa kufa nao kisha wakauliwa mbele ya wenzao wengine kama fundisho kuwa ukiona mwenzako anatoroka basi toa taarifa la sivyo akikamatwa itatakiwa auliwe na pamoja na mtu mwingine wa chaguo lake!
Inasikitisha sana!
Ni true story!

asee inasikitisha sana ile stori, je! maamuzi magumu walio yafanya wafungwa yalikua na faida au hasara? mbona watu walikufa sana wakapona wachache?
 
​Nakumbuka pale mtoto akvuliwa nguo ile anaanza tu kukimbia jibwa jeusi likaambiwa limkamate afu hana kwa kukimbilia na mbele kuna ukuta mrefu ka mnara wa babeli

naona gafla mnara wa babeli umekua maarufu, karne ya 21 hasa bongo y!?
 
Daaah Mimi nakumbukaa palee tren inavyoo ingia sijui wale watu walikua wanajua wanapelekwa wapi naskini ???
 
Ni true story. Ilikua movie moja yakusikitisha sana sad sikumbuki kitu
 
Back
Top Bottom