DIAMOND vs SHETTA

DIAMOND vs SHETTA

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
271
Sipati picha kama huu wimbo wa shikorobo angeuimba diamond nahisi ungekua wimbo wa taifa maana kwa hadhi ya shetta na hadhi ya wimbo ulipotakiwa kufika bado sana maana wimbo ni mkali sanaaa
 
Atafika tu... tuwe na subira... au labda uNigeria mwng umechangie usiwe mkubwa km unavotakiwa
 
Atafika tu... tuwe na subira... au labda uNigeria mwng umechangie usiwe mkubwa km unavotakiwa

Unaija umekua trend title za nyimbo meaningless anyway inalipa kwa kiasi flani ila kutoboa kunahitaji uvumilivu kidogo
 
Unaija umekua trend title za nyimbo meaningless anyway inalipa kwa kiasi flani ila kutoboa kunahitaji uvumilivu kidogo

Nyimbo nzur sema haina kipya... vyote vimezoeleka... afanye ubunifu ngoma nyinge atatusua tu... km atakua amejifunza
 
rapper turn singer!
Huyu hajitambui, anaangalia upepo unaelekea wapi!
Davido kawapa uthubutu wasanii wengi wa bongo!
 
Aache kumtaja kahaba Jokate anaboaaaaa

Mwanamke ili umuite malaya au kahaba inabidi naww uwe umepita na sio kwa kuskia tu kwa watu, km kahaba naww nenda kale mzigo ili uthibishe na sio kumuita dada wa watu jina km hilo
 
Back
Top Bottom