Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Hivi ni kwanini muziki wa Jazz wenye asili yake huko nchini Marekani sio maarufu hapa nchini Tanzania? Miziki ya aina nyingi kutoka nchini Marekani ni maarufu sana hapa kwetu kama vile Reggae, Hip Hop, House, Rock & Roll, Pop n.k. lakini sio Jazz, sasa ni kwanini?
Je, hii ni sababu ya IQ yetu kuwa ndogo au ni nini? Kwa maana aina hii ya muziki wa Jazz mara nyingi hupendwa sana na watu very intelligent kama nobel laureates, wanasayansi n.k. Je, moja ya sababu yaweza kuwa kwamba hatuwezi kuuelewa na kuweza kuenjoy aina hii ya muziki mzuri duniani?
Je, hii ni sababu ya IQ yetu kuwa ndogo au ni nini? Kwa maana aina hii ya muziki wa Jazz mara nyingi hupendwa sana na watu very intelligent kama nobel laureates, wanasayansi n.k. Je, moja ya sababu yaweza kuwa kwamba hatuwezi kuuelewa na kuweza kuenjoy aina hii ya muziki mzuri duniani?