Ningekua FID Q

Ningekua FID Q

Jackmedia

Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
81
Reaction score
26
"Again n again" - Ni mtazamo tu!

Laiti kama ningelikuwa FID Q Mwana Hiphop mkali Bongo;

- Ningepiga collabo na Fat Joe faster pale tu nilipokutana nae na kuonesha kukikubali kipaji changu.

- Ningekubari binadamu amle simba kwa kutoa milioni zaidi ya 40 kwa ajiri ya video zangu na sio kua na plan za kutengeneza picha la kizombi Hollywood.

- Ningemshukuru Mungu sana kwa uwezo wangu wa kuandika na kuongea kwa kujiamini.

- Ningefanya mziki wenye ladha na mafunzo na sio mafunzo peke yake.

- Nisingetangaza kufanya mziki live bali ningefanya kama suprise.

- Ningefungua/imarisha biashara zangu mbalimbali na nisingetegemea pesa za mziki pekee.

- Ningegombea ubunge 2020 kwa ajili tu ya kuwapa ukombozi wasanii.

- Kwa kuwa mimi ni mkubwa sasa ningewashauri wadogo zangu wanaoacha shule ili wafanye mziki warudi shule maana itawacost.

At the end, Ningewashukuru mashabiki walionipa support toka Bongo.com 2 Bongo Hiphop na ningewaomba wanipigie kura KTMA

Kesho; Ney wa Mitego
 
+Pamoja mdau, hapo kwenye video naunana na wewe hata mm ningekua fid q ningetilia mkazo kwenye video bora si unaona mwenzie Joh makini ashaanza kutusua intaneshnale kwa video yake hii ya nusu nusu!

#ila_fid_ni_bonge_la_rapa !
 
bongo hiphop ni video ambayo haijanivutia kiukweli.sijui kwakuwa fid anasura yake kwenye ubongo wangu ama ni vipi.

dressing style haiko poa hata kidogo... nakubali kazi zake ziko positive always
 
Kutangaza kufanya muziki wa live kuliendana na kuwajulisha wadau kuwa dau lake la show limepanda na hiyo ilikuwa target yake!
 
Hivi mziki wenye radha ni upi?
 
Nafikiri hapo.kwwnye point ya mwisho alisha fanya labda hukufanya utafiti vyema!
 
+Pamoja mdau, hapo kwenye video naunana na wewe hata mm ningekua fid q ningetilia mkazo kwenye video bora si unaona mwenzie Joh makini ashaanza kutusua intaneshnale kwa video yake hii ya nusu nusu!

#ila_fid_ni_bonge_la_rapa !

fid alisema kuliko atoe milioni 40 kufanya video bora acheze picha la kizombi hollywood: ingawa kwangu naona sio sahihi vdeo ingemsogeza mahali inga for now anafanya kitu.
 
fid alisema kuliko atoe milioni 40 kufanya video bora acheze picha la kizombi hollywood: ingawa kwangu naona sio sahihi vdeo ingemsogeza mahali inga for now anafanya kitu.

+Yeah sure jamaa hakua sahihi nadhani hakusoma alama za nyakati vizuri, pia nadhani hakutarget soko la kimataifa.
 
bongo hiphop ni video ambayo haijanivutia kiukweli.sijui kwakuwa fid anasura yake kwenye ubongo wangu ama ni vipi.

dressing style haiko poa hata kidogo... nakubali kazi zake ziko positive always

ningekua fid q video ya bongo hiphop ingekua ni ya animation!!
 
Back
Top Bottom