Makini
Senior Member
- Dec 23, 2014
- 154
- 59
Jamani, Ben Pol can sing.
Yani anasisimua sana na kipaji chake. Aliwahi kusema kati ya simu kumi anazopokea, nane ni za kuombwa kupiga chorus. Hao watu wanaona anavyoimba vizuri ndo maana wanamuomba, anapendezesha sana nyimbo.
Namuona kama John Legend, or maybe Stevie Wonder, kabla hamjaanza kunishukia nimemfananisha na hao kwa sababu wako famous zaidi. Nakifurahia sana kipaji chake, I hope atazeeka anaimba asije kuishia katikati.
Keep it up Ben Pol!!!!!
Yani anasisimua sana na kipaji chake. Aliwahi kusema kati ya simu kumi anazopokea, nane ni za kuombwa kupiga chorus. Hao watu wanaona anavyoimba vizuri ndo maana wanamuomba, anapendezesha sana nyimbo.
Namuona kama John Legend, or maybe Stevie Wonder, kabla hamjaanza kunishukia nimemfananisha na hao kwa sababu wako famous zaidi. Nakifurahia sana kipaji chake, I hope atazeeka anaimba asije kuishia katikati.
Keep it up Ben Pol!!!!!