ugonile
Member
- Feb 2, 2013
- 37
- 9
Jamani wanajamii wenzangu naomba MwanaJamii yoyote ambaye anajua ama alishafatilia mmiliki wa website ya Bongo5.
Maana kwa tafiti chache niliyofanya inaonesha wazi Clouds Media Group wana ubia mkubwa sana website hiyo maana siyo kweli kwamba kila habari exclusive zinatoka Clouds Fm. Yako mengi ila kama la leo kuhamia Clouds Fm Dj Ommy Bongo5 Imeiandika sana na mambo mengine.
Mbona kulikuwa na habari ya mjini kufunjika kwa kipindi cha Planet Bongo na ujio mpya wa show hiyo hakuna kilichoandikwa Bongo5?
Au ujio wa Dj mwanamke mkali Tanzania, Dj Sinorita na Dj Ommy crazy EA radio lakini hawaja andika? Je, kwa vile ni vituo. vyenye ushindani na mmiliki ni Clouds ndo maana hawaandiki habari za EA radio ama?
Mawazo jamani..
Maana kwa tafiti chache niliyofanya inaonesha wazi Clouds Media Group wana ubia mkubwa sana website hiyo maana siyo kweli kwamba kila habari exclusive zinatoka Clouds Fm. Yako mengi ila kama la leo kuhamia Clouds Fm Dj Ommy Bongo5 Imeiandika sana na mambo mengine.
Mbona kulikuwa na habari ya mjini kufunjika kwa kipindi cha Planet Bongo na ujio mpya wa show hiyo hakuna kilichoandikwa Bongo5?
Au ujio wa Dj mwanamke mkali Tanzania, Dj Sinorita na Dj Ommy crazy EA radio lakini hawaja andika? Je, kwa vile ni vituo. vyenye ushindani na mmiliki ni Clouds ndo maana hawaandiki habari za EA radio ama?
Mawazo jamani..