Nasikia hii bendi imeingia siafu na kufanya meanadada annet kujitoa na kuunda bendi yake kisa #papaaa aliyekuwa akimtunza kuamisha majeshi kwa bidada mwinginee.haya wenye ubuyu wa kutosha waumwage hapaa
Hii band ilikua na mission moja tu ambayo kimsingi ni kama imekamilika
Kumbomoa Jide...........
Jamaa walii promote kwa nguvu zote kama mbadala wa Machozi na wakapora mikataba kibao ambayo jide alikua ana perform
Matokeo yake Jide wa watu chaliiii
Na wao wametelekezwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.