Leo FNL wameanza kwa maombi

Leo FNL wameanza kwa maombi

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,378
Reaction score
19,267
sijui mwezi mtukufu

ngoja tuone ....fuatana nami
 
Ney wamitego kaulizwa eti anasali dini gani..??
Ni mkristo anaye mwaamini mungu....ila hana kanisaa... so mbona huyu jamaa ana tuchanganyaa kwani sheria ya ile dini nyingine inayooanzwa na fe....... mojaa ya sharti lao ni kumwamini mungu
Mimi nilikua nafikiri angeetaja kabsaa kanisaa analo sali..
 
Ney wamitego kaulizwa eti anasali dini gani..??
Ni mkristo anaye mwaamini mungu....ila hana kanisaa... so mbona huyu jamaa ana tuchanganyaa kwani sheria ya ile dini nyingine inayooanzwa na fe....... mojaa ya sharti lao ni kumwamini mungu
Mimi nilikua nafikiri angeetaja kabsaa kanisaa analo sali..

ki ukwdli mastar hawana skills za interview
 
kwanza anaulizwanhabari za mtoto anaannza uswahili mwingiii
 
ney kaongea kitu ambacho ki ukweli tangu namjua hii ni point

WASANII WAKISHATOKA NJE YA NCHI NI TIMU YA TAIFA

SO WATOE SAPOTI......

TIMU ZIBAKI NDANI
 
tatizo wassanii hawajui kutoa habari zao za ndani

kutoa habari kama hiyo anatakiwa atengeneze pesa sio anatifaidisha bure bure
 
Hivi ney hyo ndo saut yake au anabpana sauti,...**
 
Back
Top Bottom