Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,163
- 5,766
Kaslow flani amazing
Mie nmeona kamepoa sana etisikutegemea kama diamond anaweza kuchange melody kama hivi duuh!nice video
Ngoma kali sana, imenikumbusha Liquideep naukubali sana huu music uliochanganywa soul na afro fulani hivi. Japo najua hii sio miziki ya wananchi.
Big up Dangote unaendelea kutuwakilisha vyema, hizo camera utasema ulizaliwa nazo. Nachokubali fursa kwako uchezei.
Yah mkuu hii type ya music kikwetu huku watu hawaelewi sna lkn kama ushawah kuwasikiliza Liquideep utaelewa huu mziki ni mtamu sna na South wanaupenda sna Diamond kaimba vzr BigUp.
Mie nmeona kamepoa sana eti
Na diamond amesema kwamba wasouth wanapenda sana aina ile ya muziki
Mtoto wa tandale kajizoelea zake viuno atakua kapata tabu ha ha ha ila katafta mahali akakata kiuno kidogoKibongo bongo Hatujazoea muziki wa vile/aina ile ya muziki sio ya kwetu watanzania ila nasikia huko south ndio wanapenda sana zile slow motion