Mtoto wa kike Chemical na hit single ya Sielewi

Mtoto wa kike Chemical na hit single ya Sielewi

deonova

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
742
Reaction score
420
Salaam kwenu wana JF,

Kuna huyu Rapper mtoto wa kike wa kujiita, Chemical, anayetamba na hit single ya Sielewi aliyomshirikisha Soprano kwenye chorus, OMG! Naomba kumpa salute!!! Mtoto ametambaa vizuri sana asee, mistari very unique, hii ndo substitute ya akina Dataz, Sister P, and the likes...

Huyu mtoto akipata management nzuri namuona mbali sanaa ktk rap. Kichupa cha wimbo tayari kiko kideoni.
Much respect kwa producer, beat imesimama sana.
 
The first time naisikia nilijua ni mtoto wa kiume, ila baada ya kusikiliza message ya wimbo kwa makini ndo nikajua kumbe mtoto wa kike.
 
The first time naisikia nilijua ni mtoto wa kiume, ila baada ya kusikiliza message ya wimbo kwa makini ndo nikajua kumbe mtoto wa kike.

Siku ya kwanza niliifuta kabisa kwenye machine nikijiuliza huyu mtoto wa kiume niaje hasa pale aliposema yeye ni pu. nga
 
Huyu binti ana uwezo mkubwa sana, sio tuu wa kurap hata ku free style ...na style yake ina mvuto sana! Atafika mbali sana akiendelea na mwendo huu!
 
Ile ngoma kama inapewa airtime ya kutosha haikamatiki! Ngoma moja kali sana audio mpaka video... Nawaza kwa sauti, kama ule wimbo ungekuwa ni wa kina Joh Makini... kusingetosha town
 
Mbona anatambaa kama Keko wa UG

yule keko WA UG ni balaaa ,chemical anauwezo ila kidOGO anamuiga DATAZ ,Hapo ndio utamu u,naponogaogo ,yaani anaflow halafu kama anasimama kidaogo,daah safi saana , sielewi
 
Sielwwiii
uploadfromtaptalk1437740721415.jpg
 
Siku ya kwanza niliifuta kabisa kwenye machine nikijiuliza huyu mtoto wa kiume niaje hasa pale aliposema yeye ni pu. nga

Ha haaa haaaa, mimi ndo nimeifanya muito wangu wa simu (ring tone), hata nikiwa ofisini hakuna kuweka vibration.
 
Kuna mtoto mmoja wa kike pia yuko Tamaduni Music ile ya akina One The Incredible, nawish wafanye collabo na huyu Chemical.
 
mkali sana,anaweza,jana nimemcheki star TV,natamani apige kolabo na joh makini,dogo janja wa arusha au ally kiba...balaaa
 
Salaam kwenu wana JF,

Kuna huyu Rapper mtoto wa kike wa kujiita, Chemical, anayetamba na hit single ya Sielewi aliyomshirikisha Soprano kwenye chorus, OMG! Naomba kumpa salute!!! Mtoto ametambaa vizuri sana asee, mistari very unique, hii ndo substitute ya akina Dataz, Sister P, and the likes...

Huyu mtoto akipata management nzuri namuona mbali sanaa ktk rap. Kichupa cha wimbo tayari kiko kideoni.
Much respect kwa producer, beat imesimama sana.

huy dem nilikuwa namuona chuo udsm xem yuko rafu flan vibukta tu muda mwingi na visendo vyak huk vinywele vidred vilivyokosa ushirikiano bt nikamckilza sema yuko poa kw kuchana

kuna dem mwengin pia anachan shida anaitwa @c_rex tanzania yuko njian
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom