Pamoja na utu uzima wake bado ngoma iko vizuri aise
Jamani hebu tuwe wakweli, huu wimbo ni mzuri kweli kwa viwango vya Koffi Olomide?
Mimi kama mimi, nimeona wimbo ni mbaya, video ni mbovu!
Mnisamehe bure, Koffi ni moja ya wasanii wakubwa sana kwangu, hii ngoma ni mbovu.
hilo neno mtu mzima silipendagi kwa kweli, hivi kwani kuna mtu ambaye ni nusu au kipande?
...coz unapenda vitu vinavyofanana na magamba; no wonder upo tofauti na wengi!!