Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Leo nimeona kitu cha tofauti sana pale leaders club... Ni kama vile tunaweza hivi DJ mmoja mkali sana aisee wanamuita mafuvu, halafu wasanii wetu kama kuna improvement flani hivi kwenye stage...
5 Reactions
359 Replies
58K Views
Kama mlivokuwa mnafanya kwa Rais Kikwete, mfanyieni sherehe ya kuzaliwa Rais John Magufuli! Ukaribu wenu na CCM/Rais ulipelekea malalamiko mengi sana kwa wasanii hasa wale waliokuwa against na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bonyeza link hyo chini ujitengenezee nafasi ya kushinda hakuna malipo ni bure..... Xmas Car Giveaway 2015 | Car From Japan
0 Reactions
0 Replies
938 Views
https://youtu.be/sXAt8hdf9Tk
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hawa ndugu wana Album mpya nzuri balaa inaitwa A HEAD FULL OF DREAMS. Cold play is really a Blessing.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa Cold Play, Hizi ndizo nyimbo za Cold Play ambazo zimeuza sana. ​ Fix you. Viva la Vida. Paradise Magic Fun The Scientist A sky full of stars Yellow Clocks Every Tear...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Natamani bigiji ingeuzwa laki,gunia la gomba lingeuzwa jero/ Ccm sare ziwe kaki,chadema wangetinga kijani na yellow/ Igundulike Tiffa ni mtt wa Linex na Zari/ halafu Jackline Wolper ndo alikuwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Katika gemu hii ya Hip Hop Kuna wakali wengi sana wametokea hadi Leo... Wafuatao Ni wakali 10 toka kwangu. 10. Solo Thang "Ulamaa" 09. One the Incredible 08.Jay Moo 07.Hashim Dogo 06.Afande...
3 Reactions
163 Replies
24K Views
Habar wana JF. Najua JF kuna watu wenye ujuzi au vpaji mbalimbali.Nikiamua kujifunza drums but napata shida kwenye mazoezi.Nimejaribu kupakua drummless tracks kwenye mitandao nmeshindwa, kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye gitaa jipya au used lakni lipo kwenye hali nzuri tuwasiliane kwa namba 0653 257566. Liwe ni galatoni lenye umeme pia, napenda yale yenye muundo wa kisasa. Screenshot Whatsapp.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zamani kidogo clouds Fm walikuwa na doctor beats ambayo kwa sasa inaitwa xxL. Alikuwa anasimama Bony luv kama DJ na ML Chris kama Mc ilikuwa muziki mwingi, salamu kidogo na story kidogo. Akaja...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ipi kali kati ya hizi? Binafsi Teambarnaba
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Kama heading inavyojieleza hapo. Nahitaji mwalimu wa kunifundisha noten na kupiga kinanda(keyboard). Mimi nipo Mwanza... Aliye tayari/anaefahamu wapi ntampata kwa Mwanza ani-PM...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Ni quotes gani kwenye series movies,songs kama za hip hop umezipenda,au mwigizaji /rapper, gani akiigiza kila anachoongea kwako ni quote kali. Movies -----------------------------------------...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
India?s pioneer in Express Distribution and Supply Chain Solutions, Gati Limited offers a customers? conjunction platform with Gaticonnect takes online jewellery shopping india to the next level...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Tujikumbushe enzi za Yvonne Chakachaka akitesa kule South Africa, ni nyimbo ipi uliikubali zaidi toka kwake?
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Kwa niaba ya wapiga gambe wote nawalaani live band wote kwenye jamhuri hii ya mashaka. inakuaje wooote wa waimbaji wenu sauti zenu zinafanana 100% iwe Mtwara au Kigoma. Mnatuibia Mnadhani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari, Natafuta wimbo wenye maneno haya ndani yake "Umaarufu utapita ila mapenzi yatabaki palepale cha msingi simamia..." . Sifahamu jina la wimbo, ila sauti ya msanii ni ya TID, mwenye huu...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Achana na Yamoto Band, Twanga Pepeta nk. Habari ya mjini sasa ni MaSaMa Band. Imeanzishwa tarehe 5 November 2015. Wamiliki wa band hii ni watanzania wote. Wakati wa kuanzishwa kwake, karibia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…