oooh nashkur Sana...umenjuza kituHip hop ni aina ya mziki kama ilivyo reggae, bolingo, mduara, singeli, kwaito, taarabu, dance n.k.
Na rap ni namna ya kuimba huo mziki husika na ndio mana kuna marapper wa dance, bolingo, dancehall, hip hop, reggae n.k