basha unguja
Member
- Sep 28, 2016
- 83
- 77
ON air right NOW! Hawavumi lakini wamo ebwane kuna wasanii wanavipaji huku hatari tupu yaani akina Diamond wafanye fanye wawaite wakasign label ya wasafi tu asee, au akina Barnaba boy au hata SONY na akina Davido, manake wanaweza kwa kweli sema wanakosa tu support, full mavocal na ubunifu ......wasmaje wadau?
wito wangu wasaka vipaji angalieni sana kipindi hiki cha hawavumi lakini wamo!!!
wito wangu wasaka vipaji angalieni sana kipindi hiki cha hawavumi lakini wamo!!!