Mpaka muda huu kimya... ! Jua wazi watu hawana idea..Kuna mitaa nilikua napita nikasikia wimbo maarufu wa Christian Bella ukiimbwa
kwa lingala mwanzo mwisho
najiuliza ni yeye huyo Christian Bella?
je nyimbo zake zote ameimba pia ki congo?
au ni mtu mwingine?
kuna anaejua more kuhusu hilo?