COKE STUDIO 2015: MAURICE KIRYA VS ALIKIBA, NANI ALITISHA?

COKE STUDIO 2015: MAURICE KIRYA VS ALIKIBA, NANI ALITISHA?

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,759
Reaction score
71,748
Nimefuatilia coke studio Africa mwaka jana 2015 lakini hakuna wimbo ulionifurahisha kama "REASON" Ulioimbwa na Wangechi, Neyo, Dama do Bling, Maurice Kirya, Ice Prince, Alikiba na Ne-Yo. Nikamuangalia kijana wetu Alikiba na nikawangalinganisha na Maurice Kirya wa Uganda nikanyamaza tu.
Hebu angalia nani ametisha kati ya hawa wawili.
 
Back
Top Bottom