radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Akihojiwa na kipindi cha friday night live kinachorushwa na east african tv msanii maarufu Tanzania Tid akijiita mnyama,, hilo lilikuwa ni ombi la mtazamaji wa kipind hicho kwamba kwa sasa mnyama anatakiwa kuomba collabo na msanii wa singeli man fongo ndipo mtangazaji dullah akamuuliza hilo analipokeaje jamaa alioneshwa kutokukubali kwani anahisi man fongo bado msanii mchanga sio level zake.
Pia kwa upande wa Kr alipoulizwa kuhusiana na picha zake kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha akiwa amelala hadharani jamaa kasema ni uchovu ulichangia kwa kuwa yupo busy sana na mazoezi hiyo inapelekea kuchoka sana mnyama alijaribu kumsaidia kwa kusema ni kiki ya wimbo mpya wa Kr.
Pia kwa upande wa Kr alipoulizwa kuhusiana na picha zake kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha akiwa amelala hadharani jamaa kasema ni uchovu ulichangia kwa kuwa yupo busy sana na mazoezi hiyo inapelekea kuchoka sana mnyama alijaribu kumsaidia kwa kusema ni kiki ya wimbo mpya wa Kr.