Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia...
Ukijaribu kuhusisha Mgogoro uliopo sasa Kati ya Msanii Ruby na Clouds Media... Na Ukiusikiliza wimbo wake mpya unaoitwa Wale Wale n dhahiri utasema amewaponda Clouds Media.
Nimeusikiliza vzr...
Staa wa Nigeria Chinedu Ikedieze (Aki) aisifia ‘Salome’ ya Diamond ‘I am a big fan’
MUUNGWANA BLOG / 22 hours ago
Salome ya Diamond Platnumz inaelekea kumshangaza staa huyo kwa mafanikio...
Mimi ni mpenzi mkubwa mno wa muziki wowote ule duniani yaani naweza kukesha hata mpaka asubuhi endapo nikikutana na channel za muzik hasa zile matata duniani sasa.nakosa.uamuz.sahihi kuhusu...
Wadau naskia series kali ya Prison brake inatarajia au imeshaanza kuonyeshwa je mwenye ujuzi wa kujua ni channel gani imeanza kurusha hii series kali kuwahi kutokea nchini marekani
Samaha wazee wenzangu hususani wapenzi wa Muziki, kuna wimbo nautafuta, uliimbwa na Sikende, wimbo unaanza kwa neno:
Ndugu na jamaa wameniweka kando, kuwa hunifai eeh ehee x2
Nilikuweka moyoni...
Huu wimbo mpya wa Ruby kwa ambaye ameuskiza basi anaweza akakubaliana na mimi kwamba
hii ni Diss ya waziwazi kwenda kwa Clouds,
Ikumbukwe kuwa Ruby na Clouds hawana maelewano mazuri tangu...
Habari wana jf, kuna program gan ya kurushiana movies mfano series kwa njia ya simu, kuna sister niliona wanarushiana part za movie anaangalia kupitia simu but sikuelewa ni program can...
Haya haya kumekucha huko kwa madiba...ni zile tuzo za (MTV Africa Music Awards) ndo zimerudi tena..Na kama kawaida yule raisi wa bongofleva anaendelea kupeperusha bendera ya nchi kwa uzuri...
Muziki ni sanaa ambayo ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyomo katika fikra za binadamu ili yadhihirike na kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa walengwa.
Malengo makuu ya sanaa ni pamoja na...
Jana nilikuwa natazama kipindi cha planet bongo EATV Dullah alikuwa anamuhoji Dully Sykes.
Katika kumpiga maswali alimuuliza swali kuhusu yeye kutoa nyimbo kisha ile video ya huo wimbo kuwekwa...
Kama wewe ni mpenzi wa muziki wa Trap karibu hapa tushee mikato ya trap songs unazozielewa sana.
Mimi binafsi napenda
Beehive ya jaycode
Troyboi - after hours
Tuesday - monkomen
679 - fetty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.