Angel Benard.....!!!!

Angel Benard.....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,136
Salam wakuu,

Habari za weekend? Najalia wakuu mko poa. Juzi nilikua naangalia tv ghafla wimbo wa gospel ukapigwa aisee huyu dada wakuitwa Angel Benard ni mwimbaji hatari kanakwamba mwanzoni i thought sio mtanzania ila mdogo wangu wa kike akanambia kwamba mbona ni mbongo...

Huyu dada anajua na kiukweli hii ngoma yake iliniamisha kabisa spiritually nikajikta naitafakari uwepo wa Mungu maishani mwanangu. Kwa anayefahamu bio ya huyu dada naomba aweze kunijuza mawili matatu kuhusu Angel. Huu wimbo wake niliupenda:

 
Napenda sana nyimbo zake

Need you to reign

Salama Rohoni

New day na Mighty to save
Hizo 3 za mwanzo zipo kwenye album yake ya sasa, huo Mwingine huwa nauona akiuimba kwenye matukio mbalimbali

Kwa uchache wa vile navyomfaham

Alikuwa mmoja wa kundi moja lililofanya vizuri sana kati ya 2010 had 2013 pamoja na akina Jessica honore,Paul clement na Wengine

Kuna baadhi ya matangazo ya commercial huwa nasikia sauti yake

Na ameolewa na anaishi na familia yake Arusha
 
Napenda sana nyimbo zake

Need you to reign

Salama Rohoni

New day na Mighty to save
Hizo 3 za mwanzo zipo kwenye album yake ya sasa, huo Mwingine huwa nauona akiuimba kwenye matukio mbalimbali

Kwa uchache wa vile navyomfaham

Alikuwa mmoja wa kundi moja lililofanya vizuri sana kati ya 2010 had 2013 pamoja na akina Jessica honore,Paul clement na Wengine

Kuna baadhi ya matangazo ya commercial huwa nasikia sauti yake

Na ameolewa na anaishi na familia yake Arusha
Naskia amepitia mapito magumu sana mkuu ni kweli?
 
Naskia amepitia mapito magumu sana mkuu ni kweli?
Mapito yapo, na kila MTU nadhan anayo yake anayopitia au aliyopitia

Rome wasn't build on a single day

Sifaham kwa undani sana Juu ya mapito yake ,ila najua kama atakuwa kayashinda sababu yupo vyema sana
 
Napenda sana nyimbo zake

Need you to reign

Salama Rohoni

New day na Mighty to save
Hizo 3 za mwanzo zipo kwenye album yake ya sasa, huo Mwingine huwa nauona akiuimba kwenye matukio mbalimbali

Kwa uchache wa vile navyomfaham

Alikuwa mmoja wa kundi moja lililofanya vizuri sana kati ya 2010 had 2013 pamoja na akina Jessica honore,Paul clement na Wengine

Kuna baadhi ya matangazo ya commercial huwa nasikia sauti yake

Na ameolewa na anaishi na familia yake Arusha
Mimi ninaupenda ule wa nikumbushe wema wako

Alikuwa katika group la grolious celebrations kabla ya kuwa solo artist

Ni msomi aliyemaliza chuo kikuu cha mzumbe....


Sijui kama ana familia yake lakini mara ya mwisho kumsikia alikuwa ni mjamzito
 
Navyo fahamu alisoma udsm na siku ya kwanza kufika chuoni alkua na buku tano tuu ila Kwa uweza wa MUNGU aliweza ata kujisomesha akawa degree holder
 
Mapito yapo, na kila MTU nadhan anayo yake anayopitia au aliyopitia

Rome wasn't build on a single day

Sifaham kwa undani sana Juu ya mapito yake ,ila najua kama atakuwa kayashinda sababu yupo vyema sana
Yes mkuu, majaribu hayanabudi kuja
 
Mimi ninaupenda ule wa nikumbushe wema wako

Alikuwa katika group la grolious celebrations kabla ya kuwa solo artist

Ni msomi aliyemaliza chuo kikuu cha mzumbe....


Sijui kama ana familia yake lakini mara ya mwisho kumsikia alikuwa ni mjamzito
Glorious celebration? Mbona my sister alikua anaimbia hilo kundi? Hebu ngoja
 
Glorious celebration? Mbona my sister alikua anaimbia hilo kundi? Hebu ngoja
Kuna wimbo wao unaitwa roho na mwingineo niguse

Nadhani hizi ndo zilizokuwa hit songs zao..
 
Kazi nzur nmeipenda... I c xrstina shusho kapata mrithi Kama sio mpinzani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom