kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,351
Salamu kwenu wapenda maendeleo!
Nataka tushirikiane kimawazo wadau, Hivi huu wimbo umeleak ukiwa haujakamilika au ndiyo tayari umekamilika hapo? Kwa maoni yangu naona bado una dosari kubwa,na unatuangusha sisi tuliokuwa tuna matarajio makubwa sana na huu wimbo. Mimi binafsi mara ya kwanza nilipousikia walipouimba huku Mwanza kwenye Jembeka Festival nilifurahi sana na nikawaambia wadau kwamba huu wimbo hakika utapenya hadi chati za billboard. Ila nikiusikiliza huu unaosemekana umeleak naona una dosari kubwa zitazofanya huu wimbo ufikie kwenye kiwango ulikostahili. Naamini Mixing hajakamilika cz sauti bado ni kama hazijawa balanced vema,wimbo unakatwakatwa hovyo ktk kuunga kipande kimoja na kingine, kutoka kwenye verse kuingia kwenye korasi hakuna uelewano. Naombea iwe umeleak kweli ukiwa hajakamilika,ila kama ndio tayari basi Diamond umeniangusha sana japo nitaupenda hivyohivyo cz ni collabo nzuri sn! Sijui wadau wenzangu mnaonaje!!
Nataka tushirikiane kimawazo wadau, Hivi huu wimbo umeleak ukiwa haujakamilika au ndiyo tayari umekamilika hapo? Kwa maoni yangu naona bado una dosari kubwa,na unatuangusha sisi tuliokuwa tuna matarajio makubwa sana na huu wimbo. Mimi binafsi mara ya kwanza nilipousikia walipouimba huku Mwanza kwenye Jembeka Festival nilifurahi sana na nikawaambia wadau kwamba huu wimbo hakika utapenya hadi chati za billboard. Ila nikiusikiliza huu unaosemekana umeleak naona una dosari kubwa zitazofanya huu wimbo ufikie kwenye kiwango ulikostahili. Naamini Mixing hajakamilika cz sauti bado ni kama hazijawa balanced vema,wimbo unakatwakatwa hovyo ktk kuunga kipande kimoja na kingine, kutoka kwenye verse kuingia kwenye korasi hakuna uelewano. Naombea iwe umeleak kweli ukiwa hajakamilika,ila kama ndio tayari basi Diamond umeniangusha sana japo nitaupenda hivyohivyo cz ni collabo nzuri sn! Sijui wadau wenzangu mnaonaje!!