Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,284
Habari wana Jukwaa,
Kuna wimbo ameutoa mwana FA unaitwa Dume suluari,sitozungumzia kiundani huo wimbo ila kuna mstari mmoja ametamka Vanessa mdee "Baki na Hamu Zako".
Kiukweli hilo neno halifahi kabisa kusikika hewani maana lina maudhui ya matusi,sidhani kama Basata walipitia contents vizuri wa huo wimbo.
Ningependa Radio wajaribu kulifuta hilo neno lisisikike maana linajenga picha mbaya,ukisikiliza nyimbo nyingi za marekani hasa hasa radio edit maneno yenye ukakasi kama hayo wanayafuta wao wenyewe wamiliki wa radio.
Kuna wimbo ameutoa mwana FA unaitwa Dume suluari,sitozungumzia kiundani huo wimbo ila kuna mstari mmoja ametamka Vanessa mdee "Baki na Hamu Zako".
Kiukweli hilo neno halifahi kabisa kusikika hewani maana lina maudhui ya matusi,sidhani kama Basata walipitia contents vizuri wa huo wimbo.
Ningependa Radio wajaribu kulifuta hilo neno lisisikike maana linajenga picha mbaya,ukisikiliza nyimbo nyingi za marekani hasa hasa radio edit maneno yenye ukakasi kama hayo wanayafuta wao wenyewe wamiliki wa radio.