Ngoma zangu kumi 2016

Ngoma zangu kumi 2016

kituli one

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
410
Reaction score
313
Habari zenu,ni mwisho wa Mwaka sasa na hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutuweka hai na kwa kweli namba tunaisoma aisee....Kwa upande wa burudani tunashukuru Mungu kwa vijana wetu kuendelea kutesa kimataifa,hongera kwa Diamond,Alikiba na wasanii wote waliothubutu kupambana kimataifa na kututoa kimaso maso.

Lengo la uzi huu ni kuwaletea nyimbo zangu KUMI ambazo kwa Mwaka huu nimezisikiliza sana na kwa kweli zimenibariki,kunifundisha na kuniburudisha..Angalizo orodha hii ni kwa mujibu wangu tu na si vinginevyo

10. Sema tena-DABO

9. Mama-Banana Zorro x Msechu

8. Aje-Alikiba

7. Kidogo-Diamond ft Psquare

6. Moyo mashine-Ben Paul

5. Nilipize-Ibrahnation

4. Ubarikiwe-Gozbert

3. Aza mtoto wa Kariakoo-Bonge la Nyau ft Q-chillah

2. Siwezi-Barakah

1. Acha waoane-Chege ft Diamond

Bonus

1. Kokoro

2. Kajiandae

3. Muziki
Karibuni kwa michango...maoni yangu yaheshimiwe
 
Sawa kwa sababu ni kwa mujibu wako ila ingekuwa vinginevyo ungepuyanga
 
1: ibaki story
2:kama utanipenda
3:lupela
4:inde
5:ndindindi
6:Salome
7:nitokeje
8:muziki
9:kokoro
10:moyo mashine
 
Please Dont Go Away-Mayunga
Bank Allert-P Square
Pana-Tekno
 
1 siwezi... De prince
2 mboga7..blue
3 ndindindii... Jide
4 chaf poz... Billnenga
5 too much.. Darassa
6 natafuta kiki.. Raymond
7 game.. Navy. Kenzo
8 arostoo.. G nako
9 komela.. Dyna
10 muziki.. Darassa
Bonus..
Moyo machine.. Benpol
Pesa madafu.. Jmoe
.......................
Ao mashoga wawili tupa kule
 
1 siwezi... De prince
2 mboga7..blue
3 ndindindii... Jide
4 chaf poz... Billnenga
5 too much.. Darassa
6 natafuta kiki.. Raymond
7 game.. Navy. Kenzo
8 arostoo.. G nako
9 komela.. Dyna
10 muziki.. Darassa
Bonus..
Moyo machine.. Benpol
Pesa madafu.. Jmoe
.......................
Ao mashoga wawili tupa kule
Hii hapa ndo yangu...barikiwa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom