Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

0 Reactions
4 Replies
972 Views
Nimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu. Mimi bila kulala sijaangalia hii music video ya kanyewest siwezi kupata usingizi. Naona kama vile nimekuwa addicted na kumuangalia huyu video model wa hii nyimbo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hizi ni bendi mbili tofauti zinazopiga muziki wa dansi hapa nchini, ambazo kwa kiasi kikubwa zimejizolea umaarufu kutokana na umahiri wa tungo zao kiasi cha kuwapa wakati mgumu mashabiki...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Refer this Masanja adai anampenda Monica mpaka wanawake wengine anawaona ni wavulana Dada zetu watakoma mwaka huu
0 Reactions
2 Replies
777 Views
Poulenc is one of my favorite post-Ravel composers. His concertos, chamber music (especially the violin and the clarinet sonatas), opera, sacred music and melodies (Les chemins d'amour anyone ? )...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Katika ACTION MOVIES this is favourite wakuu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo nimepita kwenye mtandao DW Swahili nikakutana na makala ya kusisimua sana inayohusu taarabu asilia kutoka visiwani Zanzibar.. Napenda sana muziki wa taarabu asilia.. Sielewi kwanini huku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie huduma bure ya kuweka na kuhifadhi nota za nyimbo au mziki wako kidijitali. Kwa maelezo zaidi tuma barua pepe kwenda digitalised@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhali, usitake kufahamu ni SLAA yupi. Ukimuangalia tu, utafahamu ni yupi :) .... Cheers!!!!! Nakutakieni Jumanne njema.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibu kuutazama msimu mpya wa serious funny kupitia www.youtube.com/c/SeriousFunnyTz upate burudani bila kikomo...Usisahau kuSUBSCRIBE ili uwe wa kwanza kupata kila clip mpya inayotoka. Asante...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
105.7 ndio frequency zake Kwa wale Wasikilazaji WA masafa ya fm. Majamaa wako vizuri Kwa upande WA burudani ni USIPIME mziki mkali kuanza asubuhi mpaka kesho Yake . Siwapigii promo Ila kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyimbo ya darasa ya mziki imekua gumzo kias cha kupendwa had na wanaaiasa wa ngazi za juu. Imethibitiswa baada ya kiongoz wa ngaz wa juu wa chama tawala kukutwa akisklza na kuicheza nyimbo hiyo
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Hawa jamaa ni funga kazi kwa kuchekesha na kuelimisha. Leo wamenichekesha sana, Mkwere original ameigiza anapigwa na mke wake ambaye ni mtoto wa mzee matata, Huku mkwere akiwa ni mtoto wa yule...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Z-Anto asema Binti Kiziwi anaozea gerezani Uchina Mwanamuziki Z-Anto akiwa nje ya Nation Center Machi 8...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Umofia kwenu!!!! mzigo wenyewe ndo huu hapa English novels Agatha Christie novels hapa Asterix and oblex hapa Erle stanley gadner hapa George Orwell hapa Harry Potter hapa James...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wandugu kwema? Heri ya krismas, yaaani nakwambieni kiukweli wimbo wa darasa" muziki" raia wameuelewa kwa kweli, hadi kina mama watu wazima wanaucheza kwenye kumbi za pombe, Hamna cha kajiandae...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waigizaji wa kibongo bana bora waigize komedi tu. Ona hili igizo la Yesu mahojiano kati ya Maria na Joseph juu ya mimba ya yesu. Joseph anamuuliza Maria Joseph: Maria hii ni mimba ya nan? Maria...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wandugu, Wale wataalamu wa hizi mambo...nijuzeni website ipi ninayoweza kuipata hiyo series.
0 Reactions
4 Replies
983 Views
Habari za jioni wana jamvi....leo katika pekuapekua yangu ya filamu za kihindi za wakati huo nimekutana na filamu inaitwa ROHA...Nikaona sio mbaya tukikumbushana mtu mmoja anaekwenda kwa jina la...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…