Mkuu, kucheza ni LAZIMA. Ila kama hukucheza, basi hata kuadhimisha ndoa yako kama ulivyosema ni poa sana.
Ila kali zaidi ni kufanya kama alivyofanya huyu jamaa, kucheza na Binti yake kwenye harusi maana inaonekana Baba na Binti kweli ni damu damu na wameshacheza sana sana. Baba naye, mhhhh!!! Inaonekana enzi zake alikuwa King Of Dancehall.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.