Nadhani maana ya kubuma inabidi ipitiwe upya. Sio tu kwa vile umeufuta wimbo kwenye kisimu chako cha Tecno p3, internal memory 127MB, memory card huna halafu hasira zako unakuja kumalizia huku. Eti habari ya mjini madawa ya kulevya, madawa wapi wewe kuwa mkweli sisi Watanzania ni ndugu tunasaidiana. Ona namba huwa hazidanganyi.
Na ukisoma zile comments zake pale chini.....jamaaa ameumiza sana!
Go diamond goo
Za wasanii wenzie alizoachia nao siku moja sasa hivi ziko kwenye laki3+
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.