Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau kuna mtu ana nyimbo ya chindo man story ya nyokaa aniasaidie
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nikisema kuna watu wenye maono alikuwepo justin kalikawe aliimba nyimbo nyingi sana ambazo zinamaana mpaka sasa,hasa ninaposikiliza wimbo wake anaosema usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
FANI KATIKA MAISHA, ni track ya muda mrefu, kama kitu live hivi jamaa walitoa na video, naomba kujua ulipo verce "Mpiga debee ilikuwa kazi yangu, fani katika maisha ikaja kuniokoa, "...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Salamu wana jamvi naomba kwa anae fahamu wasanii walio imba na jina LA Nyimbo original ambazo zpo kama remix kwenye 1.jemedari ya Nikki mbishi 2.marafiki wa uongo ya zaidi Natanguliza shukran
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu tukumbushane mwendesha pikipiki bora unayempenda aliyewaikutokea.Wangu mimi 1.valentino Rossi 2.Noriyuki Hagga 3.Marehemu Marco simochelli. Wako niyupi
0 Reactions
0 Replies
556 Views
MASHAIRI YAKO HIVI........(Unaweza kurekebisha though)........ Wanasiasa Bungeni wengine ni……yooh….yooh! tu Haters wakikosa cha kuongea nao ni……. yooh….yooh! tu Mwalimu wa madada zenu naye ana……...
8 Reactions
42 Replies
9K Views
............Nafiiicha mbeleko kwajili yako,Jiachie tu nikubebe,we kama mtoto ninavyokudekeza, na jicho lako la kungu kama lanikonyeza ....... Hiyo ni baadhi ya mistari ambayo imekaa ipasavyo na...
4 Reactions
32 Replies
15K Views
Sync Lyrics
0 Reactions
0 Replies
761 Views
There's a natural mystic Blowing through the air if you listen carefully now you will hear. This could be the first trumpet might as well be the last Many more will have to suffer many more will...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
Wale waliokua wanamsema kua hamorapa hana hata nyimbo sasa kuwamaliza na hii, wengi wameenda mbali na kusema ngoma yake hiyo aliyomshirikisha mkongwe na muanzilshi wa bongo fleva j nature kwa...
7 Reactions
146 Replies
28K Views
Wakuu mpaka muda huu kipindi cha shilawadu hakijaanza kuruka hewani.Badala yake kuna kipindi cha MUSIC MIX na muda unazidi kuyoyoma.Kuna tatizo gani? Tujuzane tufahamu ni nini kimesababisha...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
na hii Nadhani kuna mmoja alitembelea Nyota ya mwenzake
0 Reactions
1 Replies
5K Views
wadau mimi ni mpenzi wa series hizi za wakorea... ingawa sijafuatilia nyingi sana lakini nimejifunza kitu.. 1. steringi anaweza kuumizwa sana na ni wepesi sana kutoka damu lakini ndani ya muda...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
habari wakuu naomba kujuzwa jinsi gani naweza kuangalia tv online kupitia cm....na channels za bongo
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Ni ktk kipindi cha FNL cha tar 17/03/2017.. Kifupi Kiba amekataa kujibu maswali aliyoulizwa na Sam... Mwisho wamekatiana simu.. muziki wa Bongo una safari kubwa Sana kufika kilele
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Ni hivi katika pitapita zangu nikamkuta ndugu yetu wa kutuinspire kupambana bwana fursa mtu mzima Harmorapa katupia dubwasha moja youtube la ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Shilingi...
7 Reactions
22 Replies
7K Views
Wadau Clouds Tv kwa sasa inapatikana online, unaweka kuitazama kupitia hii link CLOUDS TV on USTREAM: . Kwa wale ambao wako nje ya Dar hii inaweza ikawafaa zaidi.
2 Reactions
23 Replies
80K Views
[/ATTACH]
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…