Habari zenu waungwana!
Mada tajwa hapo juu yahusika.
Ni kitambo sana natafuta hii Instrumental ya my heart will go on, wimbo ambao umeimbwa na cecil dion. Ni beat ambayo inasikika sana kwenye...
If you
are fond of music;
like singing;
want to be a star;
want to meet with music lovers in Africa;
are seeking for a free music promotion platform;
You should try Sing+ (aka Sing Plus) , a...
Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté...Kuna kuna na...
Kati ya watanzania wanaomkubali Juma Nature basi na mimi nimo. Imefikia kipindi nikipishana na ka mwimbo kake kokote mahali popote pale nasimama hadi kaishe ndonaendelea na safari. Nimejaribu...
Leo nataka nifahamu nani zaidi kati ya HASSANI REHANI BITCHUKA VS TX MOSHI WILLIAM(R.I.P), kwa enzi za uhai wa TX MOSHI WILLIAM maana walikua ni washindani(Competitors) hawa. Naomba U msondo na U...
Wakati mabadiliko ya vipindi yanatokea kwa kuviua vipindi vingine na kuanzishwa vipindi vipya mjengoni Clouds fm inakosikika kidogo niandamane hasa kipindi Amplifaya kilipoipoka nafasi kipindi...
After only 90 days, South African award winning hip-hop rapper and songwriter, Kwesta, has reached an impressive 2 million views on VEVO with his latest and most personal music video offering...
wakuu habari!
naomba kwa mwenye softcopy za tamthiliya (plays) za kiswahili au kiingereza anisaidie. au kama kuna mtu anajua mahali ninapoweza kuzipata anielekeze.
natanguliza shukrani
Binafsi ni mdau na shabiki wa nyimbo zake....nimepata kuzipenda album zake mbili sanjari na ile ya jina ramadhan....Nimepata kusikia pasi na kupata uhakika juu ya uwepo wa huyu mwimbaji..Yupo hai...
Mada inajieleza vizuri, Dogo kacheza dk zote na kwa kiwango bora tumpgie kura ashinde. Kwa sasa Msuva anaongoza
Link ya kupiga kura hiyo
Ni mchezaji gani bora wa VPL kwa mwaka 2016/2017 - Poll...
Mimi nilikuwa miongoni mwa watu Wa mwanzo kabisa kufanya tathimini na kutoa maoni yangu khusiana na wimbo Wa Darasa hasara roho, ambapo nilisema kuwa inaonekana hata ule wimbo Wa muziki...
Hii chemistry ilikuwa balaa kila wimbo waliotoa ilikua hit song kwa mfano Hawajui,Wanaume kama mabinti remix,Msiache kuongea,Sikiliza featuring Mangwea-RIP,Alikufa kwa ngoma.
Alafu kuna collabo...