Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Christopher Nolan’s Odyssey film will cast Kenya’s Lupita Nyong’o as Athena, leaving fans puzzled. Athena is the Greek goddess of wisdom, war, and oil. She is also the patron goddess of heroic...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama title inavyojieleza hapo juu, twende kwenye mada hapo juu. Nimesoma moja inaitwa CAPTURE OR KILL MISSION. Kama movie ..
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01 ********* Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii...
0 Reactions
5 Replies
786 Views
Mimi naanza na zangu hapa 1. All night long ya lionel Richie 2. La isla Bonita ya Madonna 3. Nightshift ya the commodores 4. Joe le taxi ya vanessa paradis 5. Save the best for last ya vanessa...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Usaili wa Kazi Konradi Kitumbo alitembea barabarani akitangaza tangazo lake, “La mgambo likilia kuna habari…” “Kuna jambo… Acha kuharibu maneno wewe!” Mpita njia alikosoa, Kitumbo akarudia...
1 Reactions
3 Replies
838 Views
Katika dunia hii kila mtu amekuwa akiuchukia umaskini, na familia zisizokuwa na uwezo nazo zimekuwa zikifedheheshwa na watu matajiri wakiamini katika jamii hawana mchango wowote! Leo tunakutana na...
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwanini kuna vibwagizo vingi sana hujirrudia kwenye nyimbo za Bolingo za wakongomani Mfano ...Sikusala sikusala mamaa eeeh...mwana yaya kalumula sikusala eeehhh...tintiiitintiii
2 Reactions
11 Replies
453 Views
Namiss ile miaka zinatoka nyimbo kama Siachani Nawe (Baraka Da Prince), Basi Nenda (Mo Music), Sijazoea Masebene (Y Tony). Hizi ngoma hata zikipigwa leo ni kama mpya vile, waimbaji na producers...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Wimbo ufuatao una nguvu. Una nguvu inayoweza kubadili hali yako sasa hivi. Ni wimbo unaopaswa kuimbwa, kusikilizwa au kusomwa na kila mtu. Wimbo huu unakufaa wewe uliye na huzuni kwa sababu...
15 Reactions
65 Replies
3K Views
Wakuu habari. Naomba mnisaidie hii kitu, kuna movies flani zipo kwenye website flani flani ambazo huwezi kudownload, yani ni kuwatch online tu. Sasa ningependa kujua naweza kupata website ambayo...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu ndg zangu, hebu tupoteze mawazo kidogo hapa, Nataka kujua nyie wenzangu na mie dj Facebook na kidensa mc Nan mkali, 😁
1 Reactions
6 Replies
806 Views
AZDA LYRICS WITH ENGLISH November 02, 2024 - 02:10 PM AZDA LYRICS WITH ENGLISH TRANSLATION BY FRANCO & TPOK JAZZ Tokoki koloba oo We can talk Tokoki koyemba We can sing Tokoki kosomba We can buy...
0 Reactions
2 Replies
397 Views
PETE YA MFALME WA EDEN MTUNZI:JAFARI MPOLE SEHEMU YA 01 Asubuhi ya Saa mbili kijana Jafari alikurupuka kutoka kitandani,alipotazama saa yake ya mkononi ambayo aliiweka karibu na mto alipolala kwa...
8 Reactions
67 Replies
23K Views
“ The Grammys is useless , I warned them never to put my name or invite me . They use famous people to promote their award and give to people you can’t even imagine “ Eminem “ If I lose an...
0 Reactions
0 Replies
418 Views
SURA YA 1 - SAPRAIZ YA NGUVU likua maajira ya saa tatu usiku kwenye jengo la gorofa la hostel ya wanaume katika chuo kikuu cha Mbezi Beach. “Bilal, nenda gorofa ya kwanza chumba namba mia moja na...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Tafsiri ya kitaalamu inaelezea malezi kuwa ni mchakato wa maandalizi ya mtoto utakaomwezesha kukua, kukubalika na kushiriki katika shughuli za kijamii na kiutamaduni kwa kumlinda, kumjamiisha na...
4 Reactions
78 Replies
4K Views
Mimi kwangu hizi ni classic za muda wote 1. Basi Aje-MwanaFa 2. Mpweke-Banana Zorro 3. Niamini- Prof Jay ft HBC 4. Mapozi-Mr Blue 5. Wange- Mad Ice 6. Hayakuwa Mapenzi-Sugu 7. Hawapendi-Jaffarai...
11 Reactions
54 Replies
3K Views
Jin (BTS) - Close To You Mp3 Download According to music industry data organization Luminate, “Close to You” sold just about 3,000 copies during its initial tracking frame in America. That...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Kuna Maneno matamu sana kwenye huu wimbo. Ni wimbo wa mapenzi unaomsifia Mwanamke Mzuri mwenyenmaisha mazuri sana kwao. Ktk Verse ya Mwimbaji anasema hivi. ".......Kwao kila kitu stock, Beef Cow...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
The full version of Rema’s “Baby (Is It a Crime)“ is finally here! The track samples the legendary Sade Adu‘s 1985 classic “Is It a Crime,” weaving her timeless melody into Rema’s Afrobeats...
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Back
Top Bottom