Kwanza shikamoni wakubwa waliochini ya hapo habari zenu ndugu.
Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo.
Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo wenye vipaji zaid yangu lakin bado wanakosolewa na kuchukiwa labda kutokana na tabia zao au na uimbaji wao na vilevile pia hupendwa ndio binadamu tulivo.
Lengo na madhumuni ya kupost ujumbe huu ni kwamba wanadai ama watu wengi wana sema kila kitu ni [ connection ].
Huenda kuna mtu anaweza nisaidia kwa ushauri ama kama kuna studio au label ambayo wanatafuta wa sanii kwa mkataba pia kama kuna tamasha lolote la kusaka vipaji naombeni connection na mm niweze fika kujaribu bahati yangu.
Najua na pia naamini hakuna aliyejuu bila kusaidiwa ama kushikwa mkono na kufika pale anapopahitaji.
Yaweza kuwa serikali, wazazi, ndugu ,jamaa na marafiki.
Ahsante na nashukuru pia kwa kusoma ujumbe huu [emoji120]
Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo.
Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo wenye vipaji zaid yangu lakin bado wanakosolewa na kuchukiwa labda kutokana na tabia zao au na uimbaji wao na vilevile pia hupendwa ndio binadamu tulivo.
Lengo na madhumuni ya kupost ujumbe huu ni kwamba wanadai ama watu wengi wana sema kila kitu ni [ connection ].
Huenda kuna mtu anaweza nisaidia kwa ushauri ama kama kuna studio au label ambayo wanatafuta wa sanii kwa mkataba pia kama kuna tamasha lolote la kusaka vipaji naombeni connection na mm niweze fika kujaribu bahati yangu.
Najua na pia naamini hakuna aliyejuu bila kusaidiwa ama kushikwa mkono na kufika pale anapopahitaji.
Yaweza kuwa serikali, wazazi, ndugu ,jamaa na marafiki.
Ahsante na nashukuru pia kwa kusoma ujumbe huu [emoji120]