tumefikia mahali kuna mashindano ya uzuri katika kila kitongoji za miji mikuu Tanzania? wakati Watanzania tunashindana kwa uzuri, wenzetu wana masindano ya ufundi/sayansi, lugha/insha/mashairi, hisabati n.k.
nimeshuhudia katika nchi za wenzetu mashindano[science shows, maths contenst, ROBOTICS, spelling bee, national geographic bees, poetry] hayo yapo katika kila mji. kila nchi nilipotembelea nimeona science shows kwa wanafunzi wa madaraja mbalimbali. mashindano hayo ni nafasi ya kukuza vipaji na kuchochea udadisi miongoni mwa wanafunzi wakiwa wangali wadogo.
jamani hii ni dunia ya Sayansi na Teknolojia, siyo dunia ya Uzuri na Urembo. Watanzania tujirekebisha.
nimeshuhudia katika nchi za wenzetu mashindano[science shows, maths contenst, ROBOTICS, spelling bee, national geographic bees, poetry] hayo yapo katika kila mji. kila nchi nilipotembelea nimeona science shows kwa wanafunzi wa madaraja mbalimbali. mashindano hayo ni nafasi ya kukuza vipaji na kuchochea udadisi miongoni mwa wanafunzi wakiwa wangali wadogo.
jamani hii ni dunia ya Sayansi na Teknolojia, siyo dunia ya Uzuri na Urembo. Watanzania tujirekebisha.