Wote hawa ni wachambuzi wa muziki wa dance hapa nchini, Adamu akiwa kitu cha City FM na Zomboko akiwa ITV na Redio one.
Sisi wapenzi wa dance naomba tupige kura nani zaidi? Mimi kura yangu inaangukia kwa Adamu Zuberi, Jamaa ni hatari sana kwa uchambuzi wa mziki huu wa dance hapa nchini.
Mwisho wa thread kura zitahesabiwa na nitatoa matokeo rasmi - kura ni za wazi
Sisi wapenzi wa dance naomba tupige kura nani zaidi? Mimi kura yangu inaangukia kwa Adamu Zuberi, Jamaa ni hatari sana kwa uchambuzi wa mziki huu wa dance hapa nchini.
Mwisho wa thread kura zitahesabiwa na nitatoa matokeo rasmi - kura ni za wazi