Mhuu hizo chuki tu habari hii umeitoa wap....
Wana jukwaa Diamond yupo zake Zanzibar kufanya show jambo la kusikitisha wazenji wamesusa ,show ya diamond imekuwa na watu wachache na mapengo kila mahala
Wazenji huu si uungwana hata kama ubusy sio kihivyo mbona kwenye hadhara ya MH mlijazana
Habari ni ya kwel na ime trend ila fresh yeye si kalipwa chakeMhuu hizo chuki tu habari hii umeitoa wap....
Yan kila kinachosemwa kuhusu mond ni tofauti na uhalisia!!
Sema nn wabongo tuna chuki ile show ya uganda walisemaga hivi hivi lakin ukiangalia show mshkaji kajaza nyomi ya mashabiki.Habari ni ya kwel na ime trend ila fresh yeye si kalipwa chake