Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari zenu watanzania wenzangu naomba kuuliza kwa wale wanaopenda movie za kikorea nataka kudownload kupitia simu series za kikorea.anayejua website gani zinapatikana kupitia simu ashushe comment...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku ya leo ilianza vizuri, I thank God. Since am all alone, no women no nothing, went kula samaki samaki then went somewhere kudowea tena, nimerudi mapema saa mbili, no alcohol, no women...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Hbr wapendwa Ninawakumbusha wasanii kuachana na mawazo ya kufanikiwa kupitia siasa. Watambue kuwa kazi yao ni ya thamani na ndiyo itakayowapa mafanikio.
0 Reactions
3 Replies
725 Views
Huku Wilayani Sikonge kunafanyika Ligi ya Daraja la Tatu. Ambapo Timu Kutoka Urambo, Kaliua na Sikonge Zitashiriki michuani hii Hapa Wilayani Sikonge. Kuna jumla la Timu 4 zikatazoshiriki. Kuna...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mwenye nyimbo hiyo ya Lucky DUBE prodigal son naomba anitumie kwenye namba +255752782838
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kama kuna mtu anaweza nipatia link ya kupata hii movie aniwekee
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi nimpenzi wa series ya Empire nilivutiwa na umahili wa Locius na Kuki aka Tarajj,ila nikawa na boreka na vitendo vya Jamal kuwa Shoga! ila nikajipa muda kwani tangu Season 1 hadi sasa Season...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarn wakuu, kwa yeyote anaeifahamu or alienao huu wimbo plz naomba unitumie, Ni nyimbo flan hv i think niya South Africa ina mahadhi fln hv ya kwaito alaf ni ya ktambo kdg kama around 90s ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SANAA BILA VIKWAZO NA UVUMILIVU NI SAWA NA BURE. Wapo ambao anaingia leo kwenye gemu na anawika ndani ya muda mfupi kutokana na sapoti au kampani nzuri anayoipata. Uvumilivu ni njia ya kujifunza...
2 Reactions
1 Replies
852 Views
Hbr za jioni wadau, nawatakieni merry christmass; kipindi cha christmass ni special, mwenye ule wimbo wa "makondele maa makondele merrychristmass'' naomba auweke hapa wengi tunaupenda ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Muda huu Ndugu zangu...hatimaye leo imekamilika, Hii ni app mpya inayoitwa mtikiso Music hii app imetokana na blog yake ya mtikiso hivyo basi kuanzia sasa inapatikana playstore kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nasikiliza wimbo Kakolele wa Mkongo Baba Gaston anayesemekana alifariki Machi 25, 1997, hapa Tanzania (Aliamua kuishi Tanzania baada ya kustaafu shughul za muziki nchini Kenya mwaka 1989) na...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi jamani tunaona mikoa na kanda za Tanzania bara nyingi kuna timu za mpira wa miguu kwa mfano kanda ya ziwa kuna kagera sugar, pamba, mbao nk huko mbeya tuna mbeya city kwa dar kuna yanga...
0 Reactions
5 Replies
926 Views
wadau msaada kuna jingo huwa inapigwa RFA mambo mambo naitaka..?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam wakuu, mwenye kujua link ambayo naweza pata wimbo Pain in me. Umeimbwa na Emanuel Nkulila.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
naombeni kwa yeyote mwenye nyimbo ya PAIN IN ME..ya nkullila apost coz naihitaji sana
1 Reactions
12 Replies
15K Views
Nimezikumbuka sana mipini iliyomo mule na hii sikukuu na hii hali tulizo nazo bora tu kujifariji na magoma ya zamani maana hakuna namna. Mshahara umeingia sawa lakini huo mgawanyo wake naona...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Huyu jamaa nimemskia leo nikaanza kumfuatilia. Anaitwa Coyo anarap style ya kipekee saana, anakufanya uendelee kumsikiliza. Na ukifuatilia trend za tracks zake anasogea tu. Dope lyrics...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nnemsikia jana nikiwa kwenye gari ya mshkaji alikuwa anasikiliza radio. Sikuweza mwambia abadilishe station sipend kuingilia uhuru wa mtu. Zilipigwa nyimbo zake mbili. Sikuelewa alikuwa...
3 Reactions
73 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…