Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Dully Sykes _Bwimbwi anabembea. Inazungumzia madawa ya kulevya nisaidieni kuupata
0 Reactions
0 Replies
495 Views
Ottu jazz band_Udini na ukabila. Wimbo unazungumzia madhara ya vita. Tunaomba amani eeh! Dunia yote iwe na amani........Ni wa zamani kidogo anaujua anisaidie kuupata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanamuziki kumi wanauwezo wa kutoa nyimbo zinazofanana na jamii ikashtuka kuwa wameibiana mawazo. lakini washairi mia moja wanaweza kuandika wazo moja na watu wasitambue kwa haraka kuwa...
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Wanipa sababu za kupenda, nimeshasahau maumivuu Daima milele nitakuganda, nikikosea niadhibuu Mr.computer nipange vinanda,nizikwe na wewe zainabuuu Nje kuna kiza kimetanda, we nuru Fanya...
0 Reactions
0 Replies
442 Views
hio ni katika progect ya one8.. Ashukuriwe huyu braza na avikwe taji analostahili..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Asalam aleikum ndugu wana JF Leo ningependa uchangie labda hata kwa mawazo nijinsi gani tufanye ili tukuze soko la filam kwa nchi yetu maana soko la filam kwa nchi kama Tanzania limeshuka...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Kama mkulu alitangaza, hakuna kukaa uchi, sasa kuna majamaa apa azam two sijui yako ukumbi gani yanatunisha kila kiungo, adi makalio. Vipi ili katazo haliwahusu hawa, au ni la kina gigi mane tu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa kuna uwimbo unaitwa NIMEPATA SALAMA, umeimbwa na dada mmoja kutoka Kenya anaitwa HULDA VAGEN mwenye kuujua au mwenye nao naomba saaaana anipatie, naupenda mmmmno nimejaribu sana kuusaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu habarini... Naimani wazima wa afya tele.. Wakuu nina shida na nyimbo inaimbwa.. "when i come back home,everything gonna be alright, so mamy don't go,everything would be just fine" Sikumbuki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Kwa wale wapenzi wa kusikiliza redio,hasa vipindi vya burudani naomba tutaje kipindi cha redio ambacho umevutiwa nacho kwa mwaka huu wa 2017 Mimi vyangu ni The Cruise..kinachoruka east africa...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wana jf kuna tamthiliya Fulani inaitwa pasion and power inarushwa ITV kila j3,j4 na j5 SAA 4 usiku.wameekti wamexico ila ni ya English sasa nikijaribu kuidownloa d nakuta wanatalk Spanish...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
Madude ya longtime lakini bado ni mazuri kuyaangalia, mtaalamu Scott Adkins anachombeza mpola mpola. Hii movie ilichangia sana kumpa Adkins umaarufu.
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Habarini wakuu, hivi mfano mtu anataka kuja kuwa muimba mziki au muigizaji, je ili atimize ndoto yake hiyo huwa kuna time limit mfano labda ni late 20's au early 30's au huwa haina limitations...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za majukumu wakuu, natumaini wote mu wazima wa afya na mambo yanaendelea kusonga kwa neema za Mwenyezi Mungu. Bila kupoteza muda naomba kuuliza ni wapi alipo huyu mrembo Warda Walid, ni...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
SHERIA ZA GROUP *Marufuku kupost kitu chochote ambacho ni tofauti na jina la group linavyosema (latest movies) group ni maarumu kwa ajili ya movies tu *marufuku kupost picha za uchi au video ya...
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Kati ya vitu ambavyo vimelingana (rika) na TV ya mzee wangu pale nyumbani ni hii tamthilia ndefu kuliko zote ulimwenguni. Mimi najuuliza itaisha lini? Maana mimi nazeeka na yenyewe ndio kwanza...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kiuhalisia mimi nimekuwa mfuatiliaji wa muvi nyingi ila hizi muvi za kuinspire watazamaji ndo nazpenda zaidi .....hii apa list yangu 1.UNBROKEN...hii ni bonge la muvi jamaa anatoka UK alkokuwa...
3 Reactions
58 Replies
9K Views
Breaking News ; mCHEZA sasa tupo hewani tembelea tovuti yetu www.mcheza.co.tz Jisajili, Cheza, shinda na mCheza, Nikuanzia jero tu (500/=) Itakuwa poa!!! Kwa msaada wowote piga 0764 701...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
EAST COAST TEAM Mimi Deogratius Nalimi Kisandu ambaye kwa jina la Kisanii nafahamika kama "MASQO" Kati ya mwaka 2003/2004 nilifika Upanga anakoishi Msanii wa Bongo fleva na mmiliki wa kundi la...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom