Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nakumbuka ilikuwa tarehe tatu march 1998,nikiwa mwanafunzi shule ya sekondari mwembetogwa pale iringa.baada ya masomo nilipata likizo fupi.nikawaomba wazazi niende kwa babu yangu aliyekuwa akiishi...
7 Reactions
13 Replies
3K Views
Baada ya kuanglia vipande kadhaa vya show ya mwanamuziki wetu diamond platnumz, chibu dangote...Nikaona kwamba wengi wao waliohudhuria ni kutoka afrika mashariki hao wengine ni kidogo sana...
1 Reactions
1 Replies
789 Views
Kwa ile amri ya mkuu wa nchi kuhusu mavazi ya heshima kwa wacheza muziki mimi natabiri muziki wa bongo utashuka thamani yaani mashabiki wa kuangalia video zake watapungua. Maana hakuna cha maana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF tafadhal mwenye collection ya nyimbo za chrismas aniweke hapa. Nakutakieni heri ya Krismas
0 Reactions
8 Replies
14K Views
Mwaka unakaribia kuisha twambie umekutana na mikasa gani.utokaa uisahau maishan mwako.
0 Reactions
2 Replies
595 Views
Wadau hili ni swali... Nimeona video nyingi na hii hapa chini ni mojawapo, Hivi inawezekana kweli jicho moja kuzunguka bila mwenzake kufuata??? Au kiunakua na photoshop tunadanganywa???
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Mim si mpenzi wa Nigerian Movies na hata kwa bahat mbaya huwez kunikuta naziangalia hizi movie Ila kuna Movie moja inaitwa 76 Imecatch my attaention kwanza kwa wahusika wa hyo Movie pia theme yake...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Video 20 za wasanii wa Bongo zilizoangaliwa zaidi YouTube 2017 – Bongo5.com Source.. Bongo5
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ACTIVE x MWANA FA GO MAMA hajawahi kushuka hata sielewi upo hapo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi kinacho nifilisi ila sikomi ni 1.mchezo wa biko 2.bandle za internet hasa voda 3.bia ikifika jioni lazima nipate hata 2. Mungu nisaidie
7 Reactions
156 Replies
14K Views
Naombeni msikilize na kuangalia lyrics za huu wimbo Statistics by Lyfe Jennings, then mseme kama kuna ukweli kuhusu hii statistic kwa wanaume
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari JF. Leo naomba kujuzwa hili jambo kuhusu nyimbo za msanii Diamond Platinum kutokupigwa katika vituo hivi vya EA Radio na TV (Channel 5) Nauliza haya baada ya kufuatilia kwa muda...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Wadau naamini wengi mnafamu tattoo ni kitu gani...watu wengi huchora tattoo kwa sababu zao tofauti kama vile fashion tu au kuficha alama ama makovu ya vidonda...Lakini kwa leo nimewaletea list ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natarajia kusafiri next week niltarajia ningesafiri na na private car lakini haitawezekana maana gari imepata matatizo kidogo, ivyo basi kama kuna mtu anayetaka kusafiri kutoka Dar kwenda bkb na...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna wimbo wa msaga sumu sijui sana jina unaitwaje hasa ila kuna mistari anaimba kuwa naipenda simba mshabiki wa damu, mwenye nayo naomba audio...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Afande Sele_Mashikolomageni. Ulitoka 2012 Kwanza Records Morogoro nisaidieni kuupata
0 Reactions
1 Replies
697 Views
Maneno haya "" utajua kwa nini wazaramo walimuua mwizi kwa kumsuta kwa maneno"" yana maana gani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WASAALAM……….. Wakuu najua sasa hivi jukwaa lipo bize kujadili mara hallelujah, mara vevo mara youtube mara zamaradi mara ruge mara nini sijui…lakini nakuombeni mpite hapa pia ili kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SEHEMU YA 01: Eddy ameamua kuondoka nyumbani kwa wazazi wake na kwenda kupanga, kwa bahati nzuri anapata chumba katika nyumba moja yenye vyumba sita maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa. Nyumba hiyo...
2 Reactions
19 Replies
22K Views
kuna huu wimbo unaitwa aidama "aidama yoyo yoooyoo aidama aidama yoyooo yoooh aidama wawili wakipendana,aidama yabidi wafunge ndoa aidama " sikumbuki niliusikia wapi ila niliupendasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom