kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 793
Nimezikumbuka sana mipini iliyomo mule na hii sikukuu na hii hali tulizo nazo bora tu kujifariji na magoma ya zamani maana hakuna namna.
Mshahara umeingia sawa lakini huo mgawanyo wake naona nabakia tu na kama si sh 630 basi 547 dada deki.
Na january ndo hyo yaja.
Mshahara umeingia sawa lakini huo mgawanyo wake naona nabakia tu na kama si sh 630 basi 547 dada deki.
Na january ndo hyo yaja.