Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama Wewe Ni Mpenzi Na Mdau Wa Korean Drama Basi Kuna Huu Mzigo Umetoka Feb Mwaka Huu. Drama Inazungumzia Maisha Ya Captain Wa Jeshi La South Korea Alie'Fall-In-Love Na Doctor, Wote Wawili Badae...
2 Reactions
89 Replies
21K Views
Mimi sio mpenzi sana wa singeli lakini kuna nyimbo za singeli nazipenda sana mfano ni hii ya babu na dogo nigga-uzee mwisho chalinze Kuna nyingine dulla makabila-mpenzi wako namba ngapi moja Na...
0 Reactions
40 Replies
12K Views
ni udhaifu sana simba mmeonyesha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu kwa wale wapenzi wa mziki wa Kitanzania tunajua kuna wasanii waliwahi kuvuma na kupotea kusipojulikana ambao umewamiss na unahisi pengo lao halitawahi kuzibika unless otherwise...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya Mobdro kufungiwa je app gani nitumie kutazama football live? Msaada Tahadhari
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hizi series zinakuwaga nzur hasa pale mmarekani anapopambana na middle east countries mfano Syria and Yemen. 24 legacy The brave Homeland Hebu nitajie nyingine ambazo ni Kali.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Zangu ni hizi hunipa faraja sana zimekuwa kama dawa kwangu. hata sasa nimeamini nyimbo inaweza kukuponya.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jina la Mtunzi: Emmanuel Venance Hatari Jina la Simulizi: Ni Yeye Pekee. Sehemu ya: 1. WhatsApp: +255768753437. “Kila siku huwa na bahati yake” ni maneno aliyojisemea kijana Paul Gabriel...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Wadau nataka kuangali movie au series online msaaada wa channel ya kuangalia
0 Reactions
2 Replies
652 Views
Chiku nilimkubali kuanzia nikiwa naye Chuo cha Uandishi wa Habari cha Royal(RCJ)-DSM tukisoma ka CHETI ka Uandishi Kahabari mwaka 2003. Niliposikia kaingia kwenye gemu la Mziki nilifurahi sana...
0 Reactions
6 Replies
963 Views
KUELEKEA MSIMU WA SIKUKUU; NAWAKUMBUSHA WATUMIAJI WENZANGU. Kanuni za kunywa mvinyo kistaarabu "Mvinyo ni kama maisha kwa watu, ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila mvinyo? umeumbwa ili...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi hizi hadithi zilikatazwa.. Kama jibu ni hapana, je wapi naweza pata vitabu vyake au audio zake.??
1 Reactions
13 Replies
11K Views
Katika Muziki Wa Hip Hop Kuna nyimbo nyingi nzuri za Msanii mmoja mmoja, za kushirikiana na hata za makundi... Zifuatazo Ni nyimbo Tano Bora Kwangu za Kushirikiana. 5.We Ndo Mchizi Wangu Remix -...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
Naam wapenzi wa movie za karate kwa miaka hyo ya nyuma ulikua ukitaja list ya majambazi yenye roho mbaya kwenye movie za karate bas huwezi acha mtaja bolo yeung au bolo yanki kama wengi...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Hasa hasa hiphop tanzania wapo vijana underground doing Great things an using their mind to create A unique sound KAWASIKILIZENI HAWA kutoka soundcloud Brian simba George gavin Mext cortez Mjb...
0 Reactions
1 Replies
570 Views
Naombeni ushauri wenu natamani nipate series nzuri ambayo ntaangalia na kujifunza kitu
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Hello wadau, kuna watu walikuwa wanautafuta sana wimbo wa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NO 1, nimebahatika kuupata ni huu apa, Usisahau kusubscribe hannel yetu kwa Nyimbo adimu.
1 Reactions
24 Replies
12K Views
KOMBORA KIOTANI-31 BONIFACE BIRAGE Wengi walikuwa na shauku ya jinsi kipindi kingeenda kwa siku ile na jinsi kingepokewa na umma.Kulikuwa na stori kubwa iliyongoja kuruka...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Mods hongereni kwa kazi kubwa mnayoifanya humu JF. Napendekeza liwepo jukwaa au kipengele cha hadithi na story kama zile za kikosi cha kisasi, Njama, Ntakupata tu, na zingine. Mimi ni mpenzi mzuri...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom