Hbr za jioni wadau, nawatakieni merry christmass;
kipindi cha christmass ni special, mwenye ule wimbo wa "makondele maa makondele merrychristmass'' naomba auweke hapa wengi tunaupenda ili utuburudishe. Nadhani umeimbwa na bendi ya zamani, kama nimekosea jina nirekebisheni. THANK YOU GUYS.
kipindi cha christmass ni special, mwenye ule wimbo wa "makondele maa makondele merrychristmass'' naomba auweke hapa wengi tunaupenda ili utuburudishe. Nadhani umeimbwa na bendi ya zamani, kama nimekosea jina nirekebisheni. THANK YOU GUYS.