maforce
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 669
- 641
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.
*Kakobe:* Kwa Yesu.
*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.
*Kakobe:* Ndiyo
*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?
*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni.
*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?
*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)
*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?
*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.
*TIARAEI:* Ushuru wetu.
*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni
*Kakobe:* Kwa Yesu.
*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.
*Kakobe:* Ndiyo
*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?
*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni.
*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?
*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)
*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?
*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.
*TIARAEI:* Ushuru wetu.
*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni