Nimecheka sana leo

Nimecheka sana leo

maforce

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
669
Reaction score
641
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.

*Kakobe:* Kwa Yesu.

*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.

*Kakobe:* Ndiyo

*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?

*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni.

*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?

*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)

*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?

*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.

*TIARAEI:* Ushuru wetu.

*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni
 
*TIARAEI:* Askofu Kakobe tunataka kujua utajiri wako uliupataje.<br /><br />*Kakobe:* Kwa Yesu.<br /><br />*TIARAEI:* Umesema una hela nyingi sana.<br /><br />*Kakobe:* Ndiyo<br /><br />*TIARAEI:* Umezihifadhi benki gani?<br /><br />*Kakobe:* Kwa Baba Mbinguni. <br /><br />*TIARAEI:* Kwanini uzihifadhi huko?<br /><br />*Kakobe:* Ni kwa sababu maandiko yanasema _*"Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu haviwezi kuharibu"*_ (Mathayo 6:20)<br /><br />*TIARAEI:* Ukisema nondo au kutu unamaanisha ni sisi?<br /><br />*Kakobe:* Wewe wasema. Najiepusha na Mafarisayo na masadukayo.<br /><br />*TIARAEI:* Ushuru wetu.<br /><br />*Kakobe:* Tubuni halafu nendeni kwa baba mbinguni

Kwa hiyo TRA wataenda mbinguni kuchunguza utajiri wa KAKOBE amepataje na kodi analipaje
 
Back
Top Bottom