Beach nzuri ya kwenda hapa dsm

Beach nzuri ya kwenda hapa dsm

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
783
me mgeni hapa dsm nataka kwenda beach leo kuogelea sehemu gani ni nzuri bei za kawaida tu kiingiliooo.
 
kuna open beach nyingi tuu haulipii kiingilio wala kulazimishwa kununua chochote kama coco, kawe, mbezi beach, ila ukitaka utulivu nauogelee kwa aman bila kuwaza kuibiwa nguo na vitu vingine tembelea ledger (bahari beach), kunduchi beach (wet n wild) hotel zilizopo beach ya mbezi kama vile girrafe, landmark, white sands, ramada, water world, beach comber, n.k kiingilio kina range 10,000 (hoteli nyingi) mpaka 50,000 (kama kumbukumbu ziko vizuri ramada hotel)
 
nenda mikadi beach kigamboni, ila unavoogelea suruali uwe nayo maana si kwa wizi uliopo pale, na ukienda na mtoto mzuri ndo umeisha kabisa, wahuni si watu wazuri dadeki
 
nenda Chadibwa beach kigamboni tafadhali
 
Nenda mbudya island kama una hela kama huna hela kawe beach panakufaa
 
Kuna ile 'bichi' pale Ikulu, itafaa sana maana si ya gharama!!
 
kuna open beach nyingi tuu haulipii kiingilio wala kulazimishwa kununua chochote kama coco, kawe, mbezi beach, ila ukitaka utulivu nauogelee kwa aman bila kuwaza kuibiwa nguo na vitu vingine tembelea ledger (bahari beach), kunduchi beach (wet n wild) hotel zilizopo beach ya mbezi kama vile girrafe, landmark, white sands, ramada, water world, beach comber, n.k kiingilio kina range 10,000 (hoteli nyingi) mpaka 50,000 (kama kumbukumbu ziko vizuri ramada hotel)
asante sana
 
8749c663d8117c7ba4d705f46bf0d517.jpg

Hapa ni legder plazza bahari beach. Hapa panafaa kiingilio elf 15..
 
Back
Top Bottom