Aslay huniangushi

Aslay huniangushi

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
6,424
Reaction score
8,068
Naangalia live show ya huyu dogo hapa, kwakweli yuko poa.

Keep it up aslay watanzania tupo nyuma yako
 
Ana andaliwa kuja kuchukua mikoba ya Diamond
 
Ana andaliwa kuja kuchukua mikoba ya Diamond
Hayo ni mawazo yako mkuu.

Ninachoamini mimi ni kuwa si lazima tuwe na msanii mmoja tu mkubwa. Kwanini tusiwe kama Nigeria?

Yaani tunashindwa kuwasupport wasanii wengine eti kisa watamuangusha mond!!!? Huu ni ushamba kwakweli. Kama mond anaweza, anaweza tu. Tuwapandishe na wengine wawe juu
 
Wapandishe sasa
Hayo ni mawazo yako mkuu.

Ninachoamini mimi ni kuwa si lazima tuwe na msanii mmoja tu mkubwa. Kwanini tusiwe kama Nigeria?

Yaani tunashindwa kuwasupport wasanii wengine eti kisa watamuangusha mond!!!? Huu ni ushamba kwakweli. Kama mond anaweza, anaweza tu. Tuwapandishe na wengine wawe juu
 
Back
Top Bottom