Nyashinski katoa wimbo mwingine unaoitwa Beibe

Nyashinski katoa wimbo mwingine unaoitwa Beibe

NaughtyGuy

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2017
Posts
1,747
Reaction score
1,944
Tukiacha utimu ukabila nchi na ubaguzi, hivi ni nani anayejua zaidi ya huyu Jamaa Nyanshiski? Leo katoa tena dude linaitwa Beibe ni zaidi ya Malaika



Kwangu mimi Nyanshiski ni the best East Africa nzima.
 
Ngoja nikausikilize kwanza... narudi.
 
Uko poa balaa mtamu kuliko asali ni dedication nzuri sana siku kama ya leo
Yeah' uko poa, nimependa huu mstari

Forever be ma' only one,
Tukiachana itaniuma na,
Jua kuna nigga anangoja nichome,
Aruke ndani kama super sami,
Usiache ihappen, ishikilie kasiri.
 
Huyu jamaa now ni untouchable dude, ni zaidi ya mbolea kwenye ardhi nzuri yenye udongo mweusi wa rutuba. Salute
 
Back
Top Bottom