Friday nite kimekuwa kipindi cha hovyo sana

Friday nite kimekuwa kipindi cha hovyo sana

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,383
Reaction score
7,976
Hichi kipindi cha sam misago eatv nilikuwa nakifuatilia sana zamani nilikuwa sikosi mambo yalikuwa hot surprise kibao za wasanii wakija kuzungumzia kazi zao
Ila siku hizi naona kama mambo yamebadilika hasa akija huyu jamaa wa udaku jamaa anaharibu kabisa show na lingine kuhusu tangazo la tatu mzuka linachuku dakika 15
Hii show imenishinda kwa sasa sijui wadau mnasemaje
 
Nina mwaka wa nne sasa tangu niache kuangalia TV rasmi. Yani kuiangalia mpaka niikute mahali watu wanaangalia ndio na mie najoin.
 
Toka wameacha kuonyesha nyimbo za Wasanii wa WCB Wasafi sijaangalia EATV na sasa majeshi yameamua nisiangalie CLOUDS MEDIA GROUP.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom