Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
unahisi ingekuwaje kama Ingetokea Kwetu hapa tena Kipindi hiki
Umejuaje kama huyo ni raia au laa(sio polisi)? Na umejuaje kama anatania polisi hapo? Ni shughuli gani hiyo ilikuwa??unahisi ingekuwaje kama Ingetokea Kwetu hapa tena Kipindi hiki
Huu ni uchocheziunahisi ingekuwaje kama Ingetokea Kwetu hapa tena Kipindi hiki
Acha wewe. Mbowe ndio kasababisha vurugu hadi mtoto wa watu kapigwa risasi. Haya machadema kila yakijihusisha na uchaguzi kuna maafa yanatokea kwa sababu ya fujo zao.Sisonje angeuwa kama alivyouwa mtoto wa shule pale kinondoni
Swissme
Acha wewe. Mbowe ndio kasababisha vurugu hadi mtoto wa watu kapigwa risasi. Haya machadema kila yakijihusisha na uchaguzi kuna maafa yanatokea kwa sababu ya fujo zao.
Dada poa Swissme tulia.Sawa mama polepole
Swissme
Kumbe ww ndio Mama Polepole...Sawa mama polepole
Swissme
We jamaa boya kwel ina maana hapo hujui nn kinaendelea ninyi ndo mnatuchelewesha sana kwenye hii nchi kwa uboya wenu..Umejuaje kama huyo ni raia au laa(sio polisi)? Na umejuaje kama anatania polisi hapo? Ni shughuli gani hiyo ilikuwa??
We ni mgonjwa mtambuka kweli aiseeAcha wewe. Mbowe ndio kasababisha vurugu hadi mtoto wa watu kapigwa risasi. Haya machadema kila yakijihusisha na uchaguzi kuna maafa yanatokea kwa sababu ya fujo zao.
Ok.We ni mgonjwa mtambuka kweli aisee