Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sisi wengine ni wapenzi wa Mziki japo mara moja au mbili kwa juma. Zamani nilikuwa naenda club/bar kuanzia Ijumaa lakini sasa nimepunguza sana. Pengine mara moja au mbili kwa wiki. Na kwa hakika...
7 Reactions
70 Replies
11K Views
Asiye na mwana aeleke jiwe ndivyo ninavyoanza kusema kuhusu mechi ya leo kati ya watani wa jadi. Timu zote mbili zisibweteke kwani zina nafasi sawa yeyote anaweza kuwa mshindi. Likini yule...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Ktk moja ya nyinmbo za marehemu Mbarak wa Morogoro, anayataja makundi yaliyokwenda kwenye Expo70, Moja ya kundi hilo ni wanasanaa wa Chuo kikuu, akimaanisha chuo kikuu cha Dar es Salaam. Naomba...
1 Reactions
0 Replies
932 Views
SHAIRI UTANI WA JADI YANGA NA SIMBA Leo siku imefika Siku tuliyoitaka Mwali wetu atatoka Bikira tutamtoa Ukweli ninatamka Malengo tuliyaweka Kwa mwali kumualika Tupate jifaidia Msimbazi...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wanaopenda kujifunza & kuuliza mambo yote yanayohusu teknolojia...mnakaribishwa njoo ujifunze Whatsapp 0714921412....BURE 100%
1 Reactions
2 Replies
779 Views
Ndugu, kama mjuavyo mwaka 2015 , 16 kulikua na action movies za maana zilizo jumuisha john wick, unlocked u.n.c.l.e spy kingsman secret service rogue nation na nyingine nyiingi kama hizo ila kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, kama kuna mwenye link ambayo nitaweza kushusha Series ya Naagin msimu wa pili, anisaidie, Shukran.
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Naona wanacheka wenyewe na kupigana tu na hili li jamaa llinene linavaa minguo michafu iliyochanika dah!!.. bongo bado sana!
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Katika wimbo wake unaitwa "nasema nao" Msanii ney wa mitego ameamua kumchana profesa lipumba asiwe king'ang'anizi ndani ya chama ambapo katika huo wimbo ney wa mitego anasema "Usiwe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Juzi ilikuwa siku ya vitabu duniani.Hivyo nafikiria mimi na wewe tutengeneze group letu la whatsapp la kusoma vitabu ambalo tutaliita "The Book Readers Forum[emoji432]." Group letu litakuwa na...
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Karibuni tuburudike ktk show ya snura ndani ya EATV japo akiwaga kwenye show zenyewe zinakuaga ni shida zaidi ya hapa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Album imeachiwa tarehe 20 april 2018. Kama tayari umesha isikiliza karibu tufanye review ya hii album. Ni moja kati ya album kali nilizo sikiliza mwaka huu mpaka sasa hivi. Track list: My...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
movie tayari imeanza kuonyeshwa kwenye majumba ya sinema duniani kote na inategemewa kuvunja rekodi ya box office ,tutegemee hata black panther itapitwa hapa mana hata black panther imo ndani yake...
1 Reactions
1 Replies
820 Views
Kuburudika kiasi yake baada ya kazi wiki mzima.
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Tokea nisikilize TBC Taifa sasa yapata mwezi marejeo ya vipindi vya Pwagu na Pwaguzi mchana saa saba kasoro robo na jioni saa kumi na mbili kasoro robo siku za jumatatu mpaka ijumaa, kiukweli...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mzalendo ameachia ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Fyatua Bomu. Najiuliza huyu jamaa ndio msanii pekee, au raia pekee alieamua kuongea hadharani bila uoga?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
HABARI ZA LEO MPENDWA! STORY YA UJAMBAZI NA UJASUSI!! LAZIMA UITAZAME HII ACTION MOVIE YA HD QUALITY BOMBA KABISA!
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu Baada kocha mzambia Lwandamina kuondoka kinyemela leo tumepata taarifa kwamba timu ya Yanga imepata kocha Mpya kutoka ufaransa mwenye asili ya Kongo DRC. Kwakuwa huyu kocha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habar wandug, naomba msaada kwa mwenye wimbo wa O-ten ft Hard Mad-Voice mail anitumie mana nimeutafuta sana mtandaon cjaupata. najua JF ndio kila kitu Sent from my HUAWEI Y625-U32 using...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
habari za leo , filamu ya leo inahadithia maisha ya mama anaeteseka sana, anavyo kutana na familia yenye uwezo yakumsaidia anagundua na ku fufunua siri kubwa ya hio familia.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom