Mara baada ya kutrend sana couple ya Ebitoke kumpenda Ben Pol na kisha kujiita "EbiPol" Sasa ni zamu ya Billnass & Nandy mara baada ya kuvuja kwa video yao wakiwa Falagha Mashabiki zao...
Yani wasanii wetu bongo nashindwa elewa sijui ni huku Tanzania au na mbele
Maana MTU anakuja tutangazia kutolewa bikira [emoji15] [emoji15]
Hebu sikia utumbo wa hiki ki Dada
HABARI ZA HUMU CHECKI MOVIE KADHA WA KADHA KUTOKA CHANNEL YANGU YA YOUTUBE IENDAYO KWA JINA LA "BONGO SINEMA" HAPA CHINI LINK KADHALIKA ZENYE MOVIE KALI HAPA NDANI NA PIA NJE YA NCHI.
KOMEDI...
Wakuu nimejaribu kuu search huu wimbo wa Adili a. K. A HISABATI bila mafanikio
So kama kuna mdau anao unaweza kushare nami hii Old school Bongo fleva, nakumbuka wimbo una beat kali sana
Kwa utafiti wangu Mdogo nilioufanya nimegundua kuwa Wimbo "Swahiba" Ulioimbwa na Msanii Jebby ambaye kwa sasa ni marehemu aliomshirikisha Afande Sele unaweza kuwa ndiyo wimbo pekee Wa bongofleva...
Nini maana ya Hip hop?...
Je misingi ya hip hop tunayo hapa Tz?
naamini mwana HIPhop Ndio mtu pekee anayeweza kuichora au kuikosoa serikali pamoja na Sekta NYETI..
Naamin na nitaendelea...
Nilisoma kitabu kinaitwa 'To understand the purpose and power of men' nikakutana na vitu vingi vikanivutia nikaamua kujaribu nihakikishe, je ni kweli?
Mambo niliyoyapata ni katika upande wa...
Hii ni kwa wale ambao wanamkubali Mfalme Chris Brown kwenye miondoko ya RnB, Pop, HipHop na Soul. Tutakuwa tunatupia nyimbo zake zile kali pamoja na Audio zake......
THE OLD & YOUNG CHRIS BROWN...
Nimeanza kumfuatilia huyu jamaa tokea kitambo sana lakini, tangia namfahamu sijawahi kuona ameheribu kazi. Kuna wasanii wenzake kama Mario, Omarion, Young Lloyd na Bobby Valentino walivuma sana...
Wadau wa Bongo fleva ya kitambo Naitafuta sana hii nyimbo ya Bandago inaitwa Michano,,mwenye nayo version safi aiweke hapa mana huko net ipo ila inakwaruza sana.
Pia mwenye bongo fleva yoyote ya...
Habari wanajamvii.
Ndugu zangu mlioajiriwa poleni hii mvua na kazi unatakiwa kuandika jina kwenye attendence kweli poleni sana na kamshara kamegomeshwa kweli tunaisoma number...!
Sisi ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.