kamati ya ufundi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 416
- 438
Habari wanajamvii.
Ndugu zangu mlioajiriwa poleni hii mvua na kazi unatakiwa kuandika jina kwenye attendence kweli poleni sana na kamshara kamegomeshwa kweli tunaisoma number...!
Sisi ndugu zenu tulioamua kujiajiri tunapambana tu. Wala nisiwachoshe sana nimekaa kibandani kwangu natizama kavideo kapya ka Nandy kananipa hamu ya kuoa tu. Hivi ni nyege au ni haka kavideo kamenipa tu uchizi?
Ndugu zangu mlioajiriwa poleni hii mvua na kazi unatakiwa kuandika jina kwenye attendence kweli poleni sana na kamshara kamegomeshwa kweli tunaisoma number...!
Sisi ndugu zenu tulioamua kujiajiri tunapambana tu. Wala nisiwachoshe sana nimekaa kibandani kwangu natizama kavideo kapya ka Nandy kananipa hamu ya kuoa tu. Hivi ni nyege au ni haka kavideo kamenipa tu uchizi?