Maji ukiyatumia vizuri haina haja ya KIOO..

Maji ukiyatumia vizuri haina haja ya KIOO..

Pilot_In_Command

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2013
Posts
2,507
Reaction score
3,459
Nini maana ya Hip hop?...

Je misingi ya hip hop tunayo hapa Tz?

naamini mwana HIPhop Ndio mtu pekee anayeweza kuichora au kuikosoa serikali pamoja na Sekta NYETI..

Naamin na nitaendelea kuamini.. Mwanasiasa mzuri ni yule anayetokea katika Shimo la HIPHOP mfano mzuri ni SUGU..

Hiphop Ni maisha na maisha ni hiphop..

Waandishi wa habari hawana Ujasiri wa kuandika chochote chenye Positive impact katika jamii ila mwana Hiphop Anaweza.. So jamii inapaswa kuwafatilia na kusikiliza kwa makini Nyimbo za wana hiphop..

Binafsi napenda hiphop..

Hili ni dongo kutoka kwa NIKKI MBISHI (Sijui kamlenga nani..)
[HASHTAG]#Wauaji[/HASHTAG] wanahoji nina [HASHTAG]#Roho[/HASHTAG] ngap?// Wakiniua [HASHTAG]#Sifi[/HASHTAG] mi ' nachojua nina Roho #Safi// Kung-fu-rap Sarakasi//
Sauti, karamu na Karatasi zifahamu #Kandarasi//


Embu weka Mstari konzi.. Hapa chini twende sawa...
 
"mmeipenda wenyewe ndindi....chaguo letu milele ndindi... watajijua wenyewe ndindi na wavimbe wapasuke ndindiiiiiii acha waisome namba eeh...
hapo vipi
 
HIP HOP .. Ni msamiati wenye maana pana ..kwa wale waumini wa mziki huu"" wanaamini kuwa HIP HOP ni mantik ya maisha ya mwanadamu " kwa ujumla wake wote "" Ni movement za kumfanya mtu aishi kwenye Mazingira bora ya kiutambuzi"""
 
HIP HOP .. Ni msamiati wenye maana pana ..kwa wale waumini wa mziki huu"" wanaamini kuwa HIP HOP ni mantik ya maisha ya mwanadamu " kwa ujumla wake wote "" Ni movement za kumfanya mtu aishi kwenye Mazingira bora ya kiutambuzi"""
Hahh upo sahihi..

Yaan "umepita katika midundo hadi umepitiliza.."
 
If you thinking hip-hop is alive hold up your lighter, let's go.

Hip and hop is more than music
Hip is the knowledge, hop is the movement
Hip and hop is intelligent movement.
 
*Upendo mwingi huja wakat umekufa/ KUkUPA maua/wakati wanajua kuwa huwez KUYANUSA*
 
T raww raw rock my own kick game, eight figure deal figure am court side at clip game, still pop ice queen am with Rosa ree, maybach leather on that OG OK.

Hapo vipi nimetunga mwenyewe mistari konzi. [emoji95] [emoji379]
 
Hehehe...
T raww raw rock my own kick game, eight figure deal figure am court side at clip game, still pop ice queen am with Rosa ree, maybach leather on that OG OK.

Hapo vipi nimetunga mwenyewe mistari konzi. [emoji95] [emoji379]

Mie kiingereza sijui.. Ila nimeona Flow sio za nchi hii.. Emb tupe flow nyingine..
 
Iwe nene,nyembamba kubwa au ndogo/Nyoka sichagui shimo popote narusha Gogo/nazama kwenye chumvi nanyonya saa Sita/ndio zangu betri charge ina bar tisa/nikiwa mingle nikakuita sijali/ kesho utakuja kwan zimezagaa habari/hata mje Tisa wote nawaficha/unabisha? Kwangu kila mechi fainali/wembamba nawarusha juu juu kama Test/kijogoo master kungFu kwenye bed/mechi jangwani mechi Biafra/Bila konyagi bila Viagra/napiga laini mbili voda mpaka TIGO/awe wa ofisi awe konda mpka tingo/mwembe yanga na kijichi/unashangaa Balozi nishapiga mpaka Mama mwenyekiti.

Hahah... [HASHTAG]#Dizasta[/HASHTAG]..
 
Hehehe...


Mie kiingereza sijui.. Ila nimeona Flow sio za nchi hii.. Emb tupe flow nyingine..
Aaarrrggh...
Hi in the video fxck with me hella raw raw illiterate for a star,
Started from the bottom, sky eclat got a millions man am good guy turn to villain bull in park, bomb in dsm.... [emoji85] [emoji87] [emoji95] [emoji379]
 
I'm tired of bein' poor and even worse I'm black My stomach hurts so I'm lookin' for a purse to snatch....

Huyu ni Tupac[emoji115] [emoji115]
Black Benz, European, give a *** about this paper
Say your girl is a fan? Now that bitch up at my table
Every day the same cycle, got the weed, got the liquor
Got the swishas and these bitches, we gon' pull an all nighter
 
Aaarrrggh...
Hi in the video fxck with me hella raw raw illiterate for a star,
Started from the bottom, sky eclat got a millions man am good guy turn to villain bull in park, bomb in dsm.... [emoji85] [emoji87] [emoji95] [emoji379]
Now throw a couple bands on it
Walk the plank, walk the plank, yeah, stand on it
That's your bitch? I'm sorry, she put her hands on it
I know you hate it, but you know you a fan, homie
Okay, I love them Asians, I love them red dots
She give me brain, what I call a head shot
 
Black Benz, European, give a **** about this paper
Say your girl is a fan? Now that bitch up at my table
Every day the same cycle, got the weed, got the liquor
Got the swishas and these bitches, we gon' pull an all nighter
Cause there is too many niggas with you, not enough hoes,God damnit, I know you can't stand it, while I just command it
I do damage if she pull her panties down to the floor
Huhuhuuuuuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom