Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Aseeh Julie Roberts alicheza Kama Vivian ward na Richard Gere alicheza Kama Edward Lewis... Edward alichukua mzigo kama masihara.. Dem alikuwa mdangaji tuu... But Edward ali fall in love 100%...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jumatatu ni yakuamka ni #BONGOMOVIE mpya!! Pata kutazama kazi ya "DR.CHENI" akiwa ameigiza na "GABO ZIGAMABA" #SINEMA kali ya "TAMAA IMENIPONZA" Part 1 : Part 2 : #BONGOMOVIE #BONGOMOVIES...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanakijiji ameanzisha mada ya kukumbushia nyimbo bora zenye majina ya kike. Ndani ya mada hii nimeweza kupata mashairi ya nyimbo nyingi za zamani zilikuwa zinavuma miaka ya 70, 80 na mwanzoni wa...
0 Reactions
52 Replies
15K Views
“I CAN’T believe we made it,” Beyoncé kaimba maneno hayo kwenye wimbo mpya uitwao Apeshit, maneno yayomaanisha “Siamini kama tumefanikiwa.” Maneno haya yana maana kubwa kwa Beyoncé, pengine...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Audio Mpya ya Kwake MBOSSO, Wimbo Unaitwa "NIPEPEE (ZIMA FENI)" DOWNLOAD HAPA AUDIO : Mbosso - Nipepee (Zima Feni) | DOWNLOAD Mp3 SONG - MTIKISO ENTERTAINMENT
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mimi nilihisi Big Sean ameisha, Uwezo aliounesha kwenye nyimbo kama "My Last" na "All of the Lights" ulikuwa mkubwa sana lakini baadae sijui nini. Alikuwa ana uwezo wa kunata sana na biti na...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
hlw wakubwa habarini za hapa.naomba mnitajie movie/series kalii....nizi dwnld
1 Reactions
59 Replies
5K Views
JIPATIE SIZON KWA BEI POA EPSODE 1 200TZS TUNAUZA KUANZIA EPSODE 5 TUNATUMA WHATSAPP KWA NJIA YA LINK KARIBU SEASON SINGLE MOVIE ZOTE ZIPOOOO KULA KITU MOJA HIO APOO UKIHITAJI NIONEE...
0 Reactions
5 Replies
23K Views
.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani yoyote mwenye link ya game la pes 2018 naomba .kuna jamaa aliwahi weka na maelekezo vizuri lakini kwa sasa sioni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa kipindi kirefu nimekuwa na ndoto hii, ikienda na kurudi. Nashindwa wapi pa kuanzia. Ni mpenzi mkubwa sana wa movies. Napenda sana pia kuigiza na imekuwa ndoto yangu ya muda mrefu sana. So...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Hyy guys, Kwa wale wasikilizaji wa kipindi hiki bomba ndani ya Clouds FM, kila Siku ya Jumapili SAA tano kamili asbh hadi Saba mchana kikiongozwa na Mwanadada matata sana ( MomyBaby). Kuna ule...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Enzinginga na nzoto mamaa.Liyenazalaki kobanza likomelinga lelo ngamwanamama nabungi solo nzela. Nazokoka lisusu videte Juliaaa Naguetapa nayo fimbo ya meezyo Loboko yongoyo diko boyate ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Project 4 eventual winner doing one what he does best............singing........... Davis Hillary Ntare...
0 Reactions
232 Replies
27K Views
Mwenye kujua siri ya mafanikio ya hii band kukaa kwenye fani kwa umoja kwa zaidi ya miaka 40, anijuze please.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutokana na lile tukio lililotokea nchini Burundi miezi michache iliyopita la wachezaji waliofungwa jela baada ya kumchezea rafu Rais wa nchi hiyo,sijasikia Shirikisho la mpira wa miguu duniani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mfalme simba dume afande sele aliyetawala islael ameachia bonge moja ya ngoma inaitwa katubamba
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Kuna Website Ya Kudownload Movie Zilizofasiliwa Kwa Kiswahili? Hasa Ziwe Zimefasiliwa Na Dj Mark A.K.A G Mashine! Sio Wale Akina Mafi Wa Arusha!
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom